Tanganyika CCM's imperialistic designs are Zanzibari's nightmare

Tanganyika CCM's imperialistic designs are Zanzibari's nightmare

It is good to see that he is another one of those paid internet commentators. The commentators who do it to get money and genuinely do not believe in what they say.
i wouldnt be surprise if He was sent to post that article here, the way he left it sums up He didnt know what he was fighting for.

What do you mean wakale wapi? Kabla muungano walikula wapi? Acha upuuzi wako huo. Huu ni muungano wa equals tatizo Tanganyika ime relegate Zanzibar to a junior partner na hili ndio chanzo cha Kero za muungano zisiyokuwa na kikomo.
Kero za muungano zilizobaki kushughulikiwa zimebaki 4 kati ya 36 tangu Muungano uanze. Kila mtu anasubiri suluhisho ya hizo nne, tuzijaribu ndio tuangalie utaratibu mwingine.

Hao wanaopiga kelele uvunjike! uvunjike! hawana nia njema. kama wangekuwa na nia njema, wangesubiri tutafute suluhisho ya haya machache kisha ndio tuangalie uwezekano mwingine, lakini BADO sana kufika huko.
 
iArmaniAdamson

iArmanAdamson,
Unaliingia jambo usilokuwa na ujuzi nalo.

CCM Zanzibar na uchaguzi ni mada ya kujitegemea na mtu anaweza akaandika
mengi sana.

Unatumia neno ''Black Africans...''
Wewe ni mbaguzi na ubaguzi hauna nafasi katika Zanzibar tunayotaka kuijenga.

Unasema CCM Zanzibar watashinda uchaguzi...
Labda nikurejeshe katika historia ya chaguzi Zanzibar.

Uchaguzi wa kwanza baada ya kurejeshwa vyama vingi Ali Ameir aliandka barua
akikataa matokeo ya uchaguzi ambayo yalionyesha CCM imeshindwa.

Hii ni miaka 20 iliyopita mwaka 1995.

Tutajadili In Sha Allah hatua kwa hatua kwa sasa tuishie hapa.
 
Last edited by a moderator:
iArmanAdamson,
Unaliingia jambo usilokuwa na ujuzi nalo.

CCM Zanzibar na uchaguzi ni mada ya kujitegemea na mtu anaweza akaandika
mengi sana.
hilo halina upinzani. leta mada tushuke mahesabu, uone jinsi CUF walivyo kidogo.

Unatumia neno ''Black Africans...''
Wewe ni mbaguzi na ubaguzi hauna nafasi katika Zanzibar tunayotaka kuijenga.

sio ubaguzi, laiti ungemsikia Sultani wa Omani ndio ungeamini kwamba waafrika wanaitwa nyani na nia yake amesema kabisa ni kurudi na kuendelea Usultani, mapinduzi yalifanyika kuwafukuza nani? watu weusi au Waarabu? na waafrika weusi ndio waliomba Tanzania iwaunge mkono, iweje leo watu hao hao watake kukimbia?

Unasema CCM Zanzibar watashinda uchaguzi...
Labda nikurejeshe katika historia ya chaguzi Zanzibar.

Uchaguzi wa kwanza baada ya kurejeshwa vyama vingi Ali Ameir aliandka barua
akikataa matokeo ya uchaguzi ambayo yalionyesha CCM imeshindwa.

Hii ni miaka 20 iliyopita mwaka 1995.

Tutajadili In Sha Allah hatua kwa hatua kwa sasa tuishie hapa.

CUF kwa miaka 20 iliyopita wamekuwa kama UKAWA mwaka huu, wanaenda kila pahali wakisema wameshinda uchaguzi kwa kura Milioni 10, Ukiwauliza mlifikiaje kwenye mahesabu hayo, hawana jibu. Je, wewe ulishawahi kuona kithibitisho cha CUF kushinda chaguzi zote tangu 1995? ....me, neither.
 
iArmaniAdamson

iAramaniAdamson,
Nimeisikiliza kauli ya Jamshid ila sikusikia kuwa aliwaita Waafrika nyani.

Kutaka yeye kurudi Zanzibar sidhani kama kuna maana yoyote ile ukichukulia
kuwa maneno hayo kayasema kiasi cha zaidi ya miongo minne iliyopita.

Hii ni yale yale ya mdomo haumkatai bwana wake.

Historia ya Mapinduzi ya Zanzibar ina maelezo mengi sana kupita kiasi lakini
In Sha Allah huko kote tutafika.

Muhimu ni twende hatua kwa hatua.
Unauliza ushahidi wa CUF kushinda uchaguzi wowote ule.

Mimi nikitaka naweza pia nikalirejesha swali hilo kwako kuwa una ushahidi
madhubuti kuwa CCM Zanzibar wanashinda uchaguzi kwa haki?

Jibu la swali hilo sote tunalo.

Nakuwekea hapa makala ya Fatma Karume uisome usikilize Wazanzibari
wenyewe wanasema nini kuhusu uchaguzi na historia ya nchi yao kwa ujumla:

Mohamed Said: FATMA KARUME ON POLITICAL HISTORY OF ZANZIBAR
 
Last edited by a moderator:
kabisa, ila jinsi hali ilivyo inabidi kuwalinda wanyonge, WATU WENGI hawajui Sultana wa Omani aliyekimbizwa baada ya Mapinduzi yuko mzima exile London na anataka kurudi na amesema bado yeye anajitambua kama Sultana wa Zanzibar.

tusipowalinda wanyonge, waafrika weusi, basi hawa jamaa watarudi wawafanye watumwa tena, kuwapikia na kuwafulia mpaka nguo za siri.



in fair election where every person in Zanzibar votes without intimidation, or CUF or Oman Sultanate interference Black Africans will win hands down.


That's so weird! Cheap propaganda! Hivi umewahi kumaliza angalau darasa la saba kijana?
 
That's so weird! Cheap propaganda! Hivi umewahi kumaliza angalau darasa la saba kijana?

Anonymous,
Hii ni zaidi ya elimu iliyofubaa. Mimi nashindwa kuelewa maana ya kurejelea propaganda zile kwa zile kwa miaka zaidi ya khammsini. Mzanzibari anapozungumzia juu ya "muungano" unavyombana vibaya sana hata kuamini kuwa huu si muungano tena, bali ni ukoloni, kwa ajili ya sharia zilizoengezwa katika katiba ambazo wengi huzipunguza adhabu zake kimaneno na kuita "kero" za muungano, Mzanzibari huambiwa, kimaana, ''Usilalamike kwani huu ni ukoloni wa ndugu zenu sisi watu weusi. Kama hamkubali ukoloni wa ndugu zenu Waafrika wenzenu, Waarabu watarudi na kukutawaleni tena.'' Ni ni hoja au ni propaganda inayowaangalia Wazanzibari kama wenye akili tepetevu.

Peleleza utaona ukizungumzia haki zozote za Wazanzibari leo, utaona unazungumziwa khabari za utumwa wa karne ya 19. Utumwa wa Karne ye 19 unakhusiana nini na malalamiko ya Wazanzibari wa leo? Wanazungumzia utumwa kama kwamba waliofanya biashara hiyo ni Waswahili na Waarabu, yaani Waislamu peke yao. Machifu wao waliowakamata wanyonge na kuwaleta pwani hawawataji kabisa; na mada hii inakhusiana nini na kinachodaiwa leo?

Omani haina haja wala hamu ya kuitawala Zanzibar leo, maana itakuwa ni kubeba mashakil na lawama zisizokuwa na maana. Lakini lazima waitaje katika hoja zao tena bila ya mpango. Mradi warushe tu uongo na propaganda.

Jawabu zao zinavyo rejelea hayo kwa hayo utasema zinatokana na recodi mbovu ya santuri iliyokwama papo kwa papo.

Hawataki kusikiliza wala kuelewa shida za Wazanzibari zinazotokana na hali ya muungano na kadiri zilivyowabana. Hivyo basi muungano umegeuka na kuwa mbano, na mbano kama huo kokote duniani hujulikana kwa jina la "ukoloni." Lakini mkoloni yoyote huwa hauoni ubaya wake na moja katika ubaya wake ni kuwa ukizungumzia na kuuonesha ubaya wa ukoloni huo, mkoloni na wafuasi wao huhamaki ajabu na hamaki hizo huwatia kichaa. Kuna msemo usemao: "Mwenyezi Mungu anapotaka kuwaangamiza kaumu, kwanza huwatia kichaa" hata wasiweze kuona wala kusikia lolote linalokhusu makosa yao.
 
Mohamed Said iweje unawasingizia wazanzibar kuwa hawaezi kuvunja muungano?
 
Last edited by a moderator:
iAramaniAdamson,
Nimeisikiliza kauli ya Jamshid ila sikusikia kuwa aliwaita Waafrika nyani.
soma vitabu vya historia, uone kama ya mapinduzi maisha yalivyokuwa Zanzibar

Kutaka yeye kurudi Zanzibar sidhani kama kuna maana yoyote ile ukichukulia
kuwa maneno hayo kayasema kiasi cha zaidi ya miongo minne iliyopita.
kwahiyo unataka arudie azma yake kila mwaka ndio uelewe kwamba bado mpango ni ule ule

Hii ni yale yale ya mdomo haumkatai bwana wake.

Historia ya Mapinduzi ya Zanzibar ina maelezo mengi sana kupita kiasi lakini
In Sha Allah huko kote tutafika.
hauhitaji maelezo mengi, mtu alisoma na kuishi ndani ya Zanzibar kabla ya mwaka 1964, anajua kwanini kulikuwa na mapinduzi, na dhumuni la mapinduzi ni yapi.

Muhimu ni twende hatua kwa hatua.
Unauliza ushahidi wa CUF kushinda uchaguzi wowote ule.

Mimi nikitaka naweza pia nikalirejesha swali hilo kwako kuwa una ushahidi
madhubuti kuwa CCM Zanzibar wanashinda uchaguzi kwa haki?

Jibu la swali hilo sote tunalo.

Nakuwekea hapa makala ya Fatma Karume uisome usikilize Wazanzibari
wenyewe wanasema nini kuhusu uchaguzi na historia ya nchi yao kwa ujumla:
nimemsikiliza Fatma Karume na maoni yake, ukitaka kujua kwanini full referendum ya kuendelea na muungano, angali namba ya waafrika weusi Zanzibar, hao waarabu wa pemba na WaShiraz wako kidogo kulinganisha na waafrika, kwasababu walifukuzwa

That's so weird! Cheap propaganda! Hivi umewahi ...... ?
cheap propaganda na unaona uvivu kufungua kitabu cha historia ukisome kwa manufaa yako. unauliza kama nimemaliza shule wakati umekaa hapo unacheza bao hata skuli hujui iko upande gani
 
Nguruvi3,
Hapajakuwa na suala la kuvunja muungano.
Dunia ya leo ni nchi kuja pamoja kwa maslahi ya watu wao.
Si umesema wznz wanataka kuachana na ukoloni. Maana kuachana na ukoloni ni kutoka nje ya muungano, tena umelisisitiza hilo. Ndio maana nakuuliza, kwani kipi kinawashinda?
 
iArmaniAdamson

iArmaniAdamson,
Unaniambia nisome vitabu vya historia nijifunze maisha yalivyokuwa Zanzibar.

Kuna uongo mwingi sana katika vitabu vya historia ya Zanzibar na takriban
nimesoma vyote.

Licha ya kusoma nimeshiriki pia kama mtafiti msaidizi wa Dr. Harith Ghassany
wakati anaandika kitabu chake: Kwaheri Ukoloni Kwaheri Uhuru.

Kitabu hiki ndicho ''corrective,'' katika vitabu vyote kuhusu historia ya Mapinduzi
ya Zanzibar.

Anza kupita hapa ili tufahamiane vyema:
Mohamed Said: KUTOKA ZANZIBAR DAIMA: VIDOKEZO NA VIONJO KATIKA UANDISHI WA KWAHERI UHURU KWAHERI UKOLONI
(Zanzibar Daima wamekosea ni: Kwaheri Ukoloni Kwaheri Uhuru).

Mimi si kuwa tu nimesoma mengi katika historia ya Zanzibar bali nimezungumza
kwingi na kuandika mengi kuhusu Zanzibar.

Baba yangu alikuwa karibu sana na vijana wenzake wa Zanzibar wakati wa
siasa za kudai uhuru na baadhi yao waliuawa baada ya mapinduzi.

Hivyo basi sizungumzi haya kama mtu wa nje.
Nina mengi nimeyajua bila hata ya kusoma vitabu.

Ingia hapo chini tufahamiane:
Mohamed Said: Obituary The Weeping and Whipping Pen of Ali Mohamed Nabwa 1936 -2007
Mohamed Said: KUULIWA KWA ABDALLAH KASSIM HANGA
Mohamed Said: SIKIZA KIPINDI MAALUM: MAPINDUZI YA ZANZIBAR YA 1964

Kuhusu mpango wa Jamshid kuja kutawala Zanzibar sidhani kama hili linastahili
sisi kulijadili.

Jamshid ni kikongwe hivi sasa.

Umerudia tena lugha za kibaguzi ambazo hivi sasa hazina nafasi katika Zanzibar
ila kwa kikundi cha mahafidhina wachache ndani ya CCM Zanzibar.

Lugha yako ni lugha ya Kisonge ambayo badala ya kujenga madaraja inajenga
kuta na kueneza siasa za chuki katika jamii ya Wazanzibari.

Prof. Ibrahim Noor kaeleza tatizo hili katika kitabu chake: Tanzania na Propaganda
za Udini.

Angalia hapo chini:
Mohamed Said: KITABU KIPYA: TANZANIA NA PROPAGANDA ZA UDINI NA PROF. IBRAHIM NOOR

Kwa kumalizia napenda nikueleze kuwa wazee wetu waliasisi Zanzibar Nationalist
Party (ZNP) ili kujenga utaifa.

Lengo lilikuwa kujenga taifa moja la Wazanzibari.

Ndugu yangu hii leo wewe unajitahidi kuturudisha nyuma kwa lugha za kibaguzi
za ''ugozi'' kwa kutafuta makabila ya watu na rangi zao.

Hii ni fitna.
Insha Allah chukua muda nisome na nisikilize katika audio nilokuwekea hapo juu.

Hili sasa ni darsa endelevu In Sha Allah ili sote tufaidike.
Nina mengi.

PS: Hilo la elimu yako sikulijibu kwa kuwa halikutoka kwangu.
 
Last edited by a moderator:
it is this claim of zanzibar sovereignty that shows of bad intensions about the union for writers like the one at hand. it is well known tanganyika and zanzibar ceded their sovereingty for tanzania after the union. both parties have enjoyed the same citizenry rights and i dare say zanzibaris have had the upper hand in advantage. many zanzibaris have emigrated to the mainland where they enjoy economic political and social rights just like any other mainlanders. those who speak about zanzibar sovereignty do not have good intentions about the union between tanganyika and zanzibar. zanzibar has always enjoyed great autonomy from the union government. antagonism has fo many years been caused by those who their politics align with the sultanate regime that was overthown by the the 1964 revolution
 
Unaniambia nisome vitabu vya historia nijifunze maisha yalivyokuwa Zanzibar.

Kuna uongo mwingi sana katika vitabu vya historia ya Zanzibar na takriban
nimesoma vyote.

Licha ya kusoma nimeshiriki pia kama mtafiti msaidizi wa Dr. Harith Ghassany
wakati anaandika kitabu chake: Kwaheri Ukoloni Kwaheri Uhuru.

Kitabu hiki ndicho ''corrective,'' katika vitabu vyote kuhusu historia ya Mapinduzi
ya Zanzibar.

Anza kupita hapa ili tufahamiane vyema:
Mohamed Said: KUTOKA ZANZIBAR DAIMA: VIDOKEZO NA VIONJO KATIKA UANDISHI WA KWAHERI UHURU KWAHERI UKOLONI
(Zanzibar Daima wamekosea ni: Kwaheri Ukoloni Kwaheri Uhuru).

Mimi si kuwa tu nimesoma mengi katika historia ya Zanzibar bali nimezungumza
kwingi na kuandika mengi kuhusu Zanzibar.

Baba yangu alikuwa karibu sana na vijana wenzake wa Zanzibar wakati wa
siasa za kudai uhuru na baadhi yao waliuawa baada ya mapinduzi.

Hivyo basi sizungumzi haya kama mtu wa nje.
Nina mengi nimeyajua bila hata ya kusoma vitabu.

Ingia hapo chini tufahamiane:
Mohamed Said: Obituary The Weeping and Whipping Pen of Ali Mohamed Nabwa 1936 -2007
Mohamed Said: KUULIWA KWA ABDALLAH KASSIM HANGA
Mohamed Said: SIKIZA KIPINDI MAALUM: MAPINDUZI YA ZANZIBAR YA 1964
Sasa kama umefanya utafiti wa ya historia ya zanzibar, iweje leo usijue kwanini mapinduzi yalitokea, na yalitokeaje?

Kama hutaki kusoma historia, labda waandishi wameongeza chumvi, basi ingia youtube, tafuta channel ya British Pathe ina picha na video zinaonyesha jinsi mapinduzi yalivyotokea na yalitokeaje. Maana kama kusoma hutaki basi picha iwe rahisi kuangalia.

mapinduzi hayahitaji maelezo marefu, ukimuuliza Mzee wako atakwambia kwanini ilikuwa lazima yatokee na ilitokeaje hiyo siku, mambo yalikuwaje;


Kuhusu mpango wa Jamshid kuja kutawala Zanzibar sidhani kama hili linastahili
sisi kulijadili.



Jamshid ni kikongwe hivi sasa.


Umerudia tena lugha za kibaguzi ambazo hivi sasa hazina nafasi katika Zanzibar
ila kwa kikundi cha mahafidhina wachache ndani ya CCM Zanzibar.


Lugha yako ni lugha ya Kisonge ambayo badala ya kujenga madaraja inajenga
kuta na kueneza siasa za chuki katika jamii ya Wazanzibari.


Prof. Ibrahim Noor kaeleza tatizo hili katika kitabu chake: Tanzania na Propaganda
za Udini.


Angalia hapo chini:
Mohamed Said: KITABU KIPYA: TANZANIA NA PROPAGANDA ZA UDINI NA PROF. IBRAHIM NOOR


Kwa kumalizia napenda nikueleze kuwa wazee wetu waliasisi Zanzibar Nationalist
Party (ZNP) ili kujenga utaifa.


Lengo lilikuwa kujenga taifa moja la Wazanzibari.


Ndugu yangu hii leo wewe unajitahidi kuturudisha nyuma kwa lugha za kibaguzi
za ''ugozi'' kwa kutafuta makabila ya watu na rangi zao.


Hii ni fitna.
Insha Allah chukua muda nisome na nisikilize katika audio nilokuwekea hapo juu.


Hili sasa ni darsa endelevu In Sha Allah ili sote tufaidike.
Nina mengi.


PS: Hilo la elimu yako sikulijibu kwa kuwa halikutoka kwangu.
Hivi wewe unasema mimi mbaguzi na wewe ndiye uliyemwandikia Farish hii topic? unaanza kusahau mara hii? Hebu soma tena hii article ya Farish, au angalia kichwa cha habari tu uone nani ni mbaguzi.

From the first post niliyoandika nimekuwa nikimpinga Farish na ubaguzi wake, usibadilishe upepo kwangu, Farish ameandika kibaguzi na nimemwandikia kwa lugha anayoelewa yeye na ndio mana nikatumia "Tanganyika" ili aelewe maana ningeandika Tanzania asingenielewa, Firash Mirhabi ndio mbaguzi namba moja.
 
iArmaniAdamson

iArmaniAdamson,
Umefanya haraka kujibu.
Ungejituliza ukanisoma na ukanisikiliza.

Ungefanya hivyo usingeniuliza mapinduzi yalitokeaje.
Nakusihi kaa kitako nisome na si lazima ukubaliane nami.

Farish hiyo ni kalamu yake mwenyewe wala sijamuandikia mimi.
Mie sina makamo ya kumwandikia kitu Farish.

Umekerwa na neno, ''Tanganyika.''

Siwezi kukupitishia hukumu hayo ni mapenzi yako lakini usibughudhike
kwa mwingine kujifaharisha na nchi yake ''Zanzibar.''

Huu ni uzalendo hauwezi kuwa ubaguzi hata siku moja.
Hili ni darsa enedelevu In Sha Allah tutasomeshana.
 
Last edited by a moderator:
What we see in zanzibar is kind of the abuse of power to thwart democracy,whereby a certain groups or parties in a society consider themself more super and superior than their society or nation. Such kind motives are mainly derived from selfishness, future focus blindness and cowards they are blinded by the Thirst of rolling, they less care about the future, stability, will and wellbeing of the people, what they think is to be in power regardless of how do they get in. So now the problem of these kind of motives is that they place the community in the risk of adapting their way most vulnerable in this case are children. Example of these adapters, in our villages you may find children playing making ballistics with matchbox this is because they are now becoming familiar with bombs during election
 
it is this claim of zanzibar sovereignty that shows of bad intensions about the union for writers like the one at hand. it is well known tanganyika and zanzibar ceded their sovereingty for tanzania after the union. both parties have enjoyed the same citizenry rights and i dare say zanzibaris have had the upper hand in advantage. many zanzibaris have emigrated to the mainland where they enjoy economic political and social rights just like any other mainlanders. those who speak about zanzibar sovereignty do not have good intentions about the union between tanganyika and zanzibar. zanzibar has always enjoyed great autonomy from the union government. antagonism has fo many years been caused by those who their politics align with the sultanate regime that was overthown by the the 1964 revolution

right on point.


Firstly, Separatist don't want to acknowledge that Zanzibar has greatly benefited from TZ Mainland. if you look at economic output of Mainland and Zanzibar it is obvious that Zanzibar to a greater extend has benefited from Mainland, economic output of Zanzibar wont be able to sustain 5 regions on Mainland.


Secondly, Separatist have huge financial backing from Oman Sultanate, so they don't care about losing income from TZ mainland. All they want is to take Zanzibar back in their control and continue to cause havoc to natives of that land.


They know with Oman on their side, it will be easier to gain access to funds from IOC members.




What we see in zanzibar is kind of the abuse of power to thwart democracy,whereby a certain groups or parties in a society consider themself more super and superior than their society or nation. Such kind motives are mainly derived from selfishness, future focus blindness and cowards they are blinded by the Thirst of rolling, they less care about the future, stability, will and wellbeing of the people, what they think is to be in power regardless of how do they get in. So now the problem of these kind of motives is that they place the community in the risk of adapting their way most vulnerable in this case are children. Example of these adapters, in our villages you may find children playing making ballistics with matchbox this is because they are now becoming familiar with bombs during election


there is a need for people to understand that our leaders ought to be elected in free and fair elections. it amazes me that, CUF will say election were not free and fair but at the same time celebrate their win.


The presence of heavy police patrols during election is something which cannot be avoided because during these times you have select few who seem to always trying to take advantage of the situation. When elections are finished they go away until the election time, it's like cockroaches, re-emerging whenever lights go off.
 
iArmaniAdamson

iArmaniAdamson,
It seems we are getting into a merry go round situation.
You refuse to read and hence we are back where we began.

And this is the problem with many of us.
We just don't have the stomach for reading.

If one shuns reading how is he going to get new information?
To read or not to read that is the question...
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom