Tanganyika haijawahi tawaliwa na mwingereza hivyo kusema ilipata uhuru toka kwa mwingereza ni uongo

Tanganyika haijawahi tawaliwa na mwingereza hivyo kusema ilipata uhuru toka kwa mwingereza ni uongo

Tanganyika haijawahi tawaliwa na mwingereza hivyo kusema ilipata uhuru toka kwa mwingereza ni uongo

Tanganyika ilikuwa tu protectorate sio colony la muingereza

Wanaosema waingereza walikuwa wakoloni waongo
Tupe uthibitisho
 
Tupe uthibitisho
Kasome history wewe ya sekondari tu
Tanzania haijawahi tawaliwa na mwingereza kama koloni

Kama wewe uliandika vitabu vilivyojaa uongo kuwa mwingereza alikuwa mkoloni wa Tanzania. Vitabu vyako viondolewe haraka mashuleni
 
Hakusoma somo la historia huyu
Wewe ndie hujasoma historia umesoma vitabu vya historia vya waongo vinavyotakiwa kuondolewa mashuleni

Mwingereza hajawahi kuwa mkoloni

Na chaguzi za nchi zilikuwa zikifanyika kama kawaida mwingereza wala hakuweka wagombea ni wananchi tu wa Tanganyika ndio walichagua viongozi wao kuanzia wabunge ,Madiwani hadi mawaziri wakati wa mwingereza
 
Kwa maana hio Tanganyika haikupata uhuru mwaka 1961, sasa je ilipata uhuru mwaka gani?
 
Ukweli ndio huo mnaambiwa huku mmekaza shingo,elimu na mtanganyika ni kama mbingu na ardhi.
 
Kwa maana hio Tanganyika haikupata uhuru mwaka 1961, sasa je ilipata uhuru mwaka gani?
Sahihi kabisa

Na ni Sahihi sasa hivi sherehe zinazoitwa za uhuru kufutwa na pesa zilizotengwa kwa shughuli hizo ziende kwenye matumizi mengine

Unapataje uhuru toka kwa mwingereza anbaye hajawahi kuwa mkoloni wako?

Utapeli mtupu

Kilichofanyika ni yeye tu mwingereza kujiondoa jukumu la kazi za protectorate tu.Hakuondoka kama mkoloni ndio maana hata makabidhiano hayakuhusisha umwagaji damu kama Kenya kwa mau mau ambako mwingereza alikuwa mkoloni wao
 
Sahihi kabisa

Na ni Sahihi sasa hivi sherehe zinazoitwa za uhuru kufutwa na pesa zilizotengwa kwa shughuli hizo ziende kwenye matumizi mengine

Unapataje uhuru toka kwa mwingereza anbaye hajawahi kuwa mkoloni wako?

Utapeli mtupu

Kilichofanyika ni yeye tu mwingereza kujiondoa jukumu la kazi za protectorate tu.Hakuondoka kama mkoloni ndio maana hata makabidhiano hayakuhusisha umwagaji damu kama Kenya kwa mau mau ambako mwingereza alikuwa mkoloni wao
Mimi bado najiuliza maswali. Je, ili ijulikane kuwa ni ukoloni lazima umwagaji damu ufanyike au mapinduzi yatokee?
 
Wewe ndie hujasoma historia umesoma vitabu vya historia vya waongo vinavyotakiwa kuondolewa mashuleni

Mwingereza hajawahi kuwa mkoloni

Na chaguzi za nchi zilikuwa zikifanyika kama kawaida mwingereza wala hakuweka wagombea ni wananchi tu wa Tanganyika ndio walichagua viongozi wao kuanzia wabunge ,Madiwani hadi mawaziri wakati wa mwingereza
Aliyesaini hati ya uhuru ni nani
 
Back
Top Bottom