Tanganyika imezikwa kwenye kaburi la Muungano, haiwezi kuvaa koti la Muungano

Tanganyika imezikwa kwenye kaburi la Muungano, haiwezi kuvaa koti la Muungano

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
21,470
Reaction score
40,593
Kuna wakati huwa nashangazwa Sana na mawazo ya baadhi ya wazanzibari wanapoona kuwa Tanganyika inafaidika zaidi na Muungano kati yake na Zanzibar, kuliko Zanzibar inavyofaidika na Muungano huo.

Wazanzibari hao ndiyo waliobuni msemo wa "Tanganyika imevaa koti la Muungano" kumaanisha kuwa Muungano unaendeshwa na Tanganyika Kwa faida yake na zanzibar hawana wapatalo.

Lakini hiyo Tanganyika ambayo inasemwa imevaa koti la Muungano Iko wapi? Nani anaweza kuonesha mipaka ya Tanganyika na nchi nyingine?

Mipaka ya Zanzibar iko na inajulikana na wenyewe wazanzibari wanataka iheshimiwe. Mipaka inayoitambulisha nchi ya Tanganyika iko wapi?

Zanzibar Wana Serikali Yao Kamili na timilifu inayosimamia mambo ya Zanzibar. Serikali ya Tanganyika iko wapi?

Zanzibar wanao utambulisho wao na hata uraia wa Zanzibar ni kwa ajili ya wazanzibari. Uraia wa Tanganyika unapatikana wapi na kivipi?

Muungano umeiua Tanganyika na kuizika Tanganyika kwenye kaburi la Muungano na kuiacha hai Zanzibar pekee.

Soma Pia: Tanganyika ni lazima iendelee kuungana na Zanzibar?

Tanganyika iliyouliwa na Muungano inawezaje kuvaa koti la Muungano? Uliona wapi marehemu akawa na uwezo wa kujivalisha nguo?

Kama kuvaa koti la Muungano basi Zanzibar ndiyo yenye uwezo wa kuvaa koti la Muungano na si Tanganyika. Maana Zanzibar iko hai.

Hebu angalia Mzanzibari anavyopata Kila haki anayopata Mtanganyika lakini Mtanganyika hawezi kupata Kila haki anayopata Mzanzibari, kutokana na yeye kuwa Mzanzibari ndani ya Muungano.

Na bahati mbaya sana CCM haina ubavu hata nukta wa kupigania kufufuliwa Kwa Tanganyika Wala kupigania mirathi ya marehemu Tanganyika.

Wana CCM wanaotokana na Marehemu Tanganyika, hawana ubavu wa kufurukuta dhidi ya wanzibari wana CCM linapokuja suala la kuivua Zanzibar koti la Muungano.

Wajinga ndiyo waliwao.
 
Niliwahi kufundisha shule moja hivi ya serekali na walimu kutoka Zanzibar ambao wameajiriwa na serikali ni wengi hatari. Huwezi kukutana na kitu cha namna hiyo Zanzibar

Muungano uko very biased
 
Niliwahi kufundisha shule moja hivi ya serekali na walimu kutoka Zanzibar ambao wameajiriwa na serikali ni wengi hatari. Huwezi kukutana na kitu cha namna hiyo Zanzibar

Muungano uko very biased
Watanganyika wengi tu wanafiki...
 
Kuna siku pale juu itakaa safu ya watu wataobariki maoni ya Muungano kuvunjika.

Ukikaa na Mzanzibari ambae ameishi huku bara au kufunya shughuli zake huku huwezi kumsikia akihubiri habari za kuvunja Muungano. Anajua faida anazopata na hasara atakazopata ikitokea Muungano umevunjika.

Kwa upande wa Watanganyika hatuna cha kupoteza asee. Sana sana tutakuwa tumepunguza kelele za kuitwa Wanyonyaji na Machogo kutoka bara.
 
Kuna siku pale juu itakaa safu ya watu wataobariki maoni ya Muungano kuvunjika.

Ukikaa na Mzanzibari ambae ameishi huku bara au kufunya shughuli zake huku huwezi kumsikia akihubiri habari za kuvunja Muungano. Anajua faida anazopata na hasara atakazopata ikitokea Muungano umevunjika.

Kwa upande wa Watanganyika hatuna cha kupoteza asee. Sana sana tutakuwa tumepunguza kelele za kuitwa Wanyonyaji na Machogo kutoka bara.
Wazanzibar wananunua viwanja huku bara na kujenga kila siku, wanamiliki biashara, wana uhuru wakuabudu watakavyo
Mtanganyika huwezi kununua kule Zanzibar kirahisi, ni mlolongo mrefu mno
Huu muungano tunalazimishwa tu
 
Kuna wakati huwa nashangazwa Sana na mawazo ya baadhi ya wazanzibari wanapoona kuwa Tanganyika inafaidika zaidi na Muungano kati yake na Zanzibar, kuliko Zanzibar inavyofaidika na Muungano huo.

Wazanzibari hao ndiyo waliobuni msemo wa "Tanganyika imevaa koti la Muungano" kumaanisha kuwa Muungano unaendeshwa na Tanganyika Kwa faida yake na zanzibar hawana wapatalo.

Lakini hiyo Tanganyika ambayo inasemwa imevaa koti la Muungano Iko wapi? Nani anaweza kuonesha mipaka ya Tanganyika na nchi nyingine?

Mipaka ya Zanzibar iko na inajulikana na wenyewe wazanzibari wanataka iheshimiwe. Mipaka inayoitambulisha nchi ya Tanganyika iko wapi?

Zanzibar Wana Serikali Yao Kamili na timilifu inayosimamia mambo ya Zanzibar. Serikali ya Tanganyika iko wapi?

Zanzibar wanao utambulisho wao na hata uraia wa Zanzibar ni kwa ajili ya wazanzibari. Uraia wa Tanganyika unapatikana wapi na kivipi?

Muungano umeiua Tanganyika na kuizika Tanganyika kwenye kaburi la Muungano na kuiacha hai Zanzibar pekee.

Soma Pia: Tanganyika ni lazima iendelee kuungana na Zanzibar?

Tanganyika iliyouliwa na Muungano inawezaje kuvaa koti la Muungano? Uliona wapi marehemu akawa na uwezo wa kujivalisha nguo?

Kama kuvaa koti la Muungano basi Zanzibar ndiyo yenye uwezo wa kuvaa koti la Muungano na si Tanganyika. Maana Zanzibar iko hai.

Hebu angalia Mzanzibari anavyopata Kila haki anayopata Mtanganyika lakini Mtanganyika hawezi kupata Kila haki anayopata Mzanzibari, kutokana na yeye kuwa Mzanzibari ndani ya Muungano.

Na bahati mbaya sana CCM haina ubavu hata nukta wa kupigania kufufuliwa Kwa Tanganyika Wala kupigania mirathi ya marehemu Tanganyika.

Wana CCM wanaotokana na Marehemu Tanganyika, hawana ubavu wa kufurukuta dhidi ya wanzibari wana CCM linapokuja suala la kuivua Zanzibar koti la Muungano.

Wajinga ndiyo waliwao.
Tanzania vs Zanzibar, Tanzania main land vs Tanzania islands. Ukitumia akili mnemba naanza kukuekewa
 
Mama anafanya kufuru Zanzibar kwa kutumia fedha za Tanganyika. This is unfair.
 
Kuna wakati huwa nashangazwa Sana na mawazo ya baadhi ya wazanzibari wanapoona kuwa Tanganyika inafaidika zaidi na Muungano kati yake na Zanzibar, kuliko Zanzibar inavyofaidika na Muungano huo.

Hebu angalia Mzanzibari anavyopata Kila haki anayopata Mtanganyika lakini Mtanganyika hawezi kupata Kila haki anayopata Mzanzibari, kutokana na yeye kuwa Mzanzibari ndani ya Muungano.

Wana CCM wanaotokana na Marehemu Tanganyika, hawana ubavu wa kufurukuta dhidi ya wanzibari wana CCM linapokuja suala la kuivua Zanzibar koti la Muungano.

Wajinga ndiyo waliwao.
Unahitajika upatiwe elimu kuhusu huu Muungano wetu adhimu na adimu Mwalimu mkuu wa kwanza ni huyu

P
 
Kuna wakati huwa nashangazwa Sana na mawazo ya baadhi ya wazanzibari wanapoona kuwa Tanganyika inafaidika zaidi na Muungano kati yake na Zanzibar, kuliko Zanzibar inavyofaidika na Muungano huo.

Wazanzibari hao ndiyo waliobuni msemo wa "Tanganyika imevaa koti la Muungano" kumaanisha kuwa Muungano unaendeshwa na Tanganyika Kwa faida yake na zanzibar hawana wapatalo.

Lakini hiyo Tanganyika ambayo inasemwa imevaa koti la Muungano Iko wapi? Nani anaweza kuonesha mipaka ya Tanganyika na nchi nyingine?

Mipaka ya Zanzibar iko na inajulikana na wenyewe wazanzibari wanataka iheshimiwe. Mipaka inayoitambulisha nchi ya Tanganyika iko wapi?

Zanzibar Wana Serikali Yao Kamili na timilifu inayosimamia mambo ya Zanzibar. Serikali ya Tanganyika iko wapi?

Zanzibar wanao utambulisho wao na hata uraia wa Zanzibar ni kwa ajili ya wazanzibari. Uraia wa Tanganyika unapatikana wapi na kivipi?

Muungano umeiua Tanganyika na kuizika Tanganyika kwenye kaburi la Muungano na kuiacha hai Zanzibar pekee.

Soma Pia: Tanganyika ni lazima iendelee kuungana na Zanzibar?

Tanganyika iliyouliwa na Muungano inawezaje kuvaa koti la Muungano? Uliona wapi marehemu akawa na uwezo wa kujivalisha nguo?

Kama kuvaa koti la Muungano basi Zanzibar ndiyo yenye uwezo wa kuvaa koti la Muungano na si Tanganyika. Maana Zanzibar iko hai.

Hebu angalia Mzanzibari anavyopata Kila haki anayopata Mtanganyika lakini Mtanganyika hawezi kupata Kila haki anayopata Mzanzibari, kutokana na yeye kuwa Mzanzibari ndani ya Muungano.

Na bahati mbaya sana CCM haina ubavu hata nukta wa kupigania kufufuliwa Kwa Tanganyika Wala kupigania mirathi ya marehemu Tanganyika.

Wana CCM wanaotokana na Marehemu Tanganyika, hawana ubavu wa kufurukuta dhidi ya wanzibari wana CCM linapokuja suala la kuivua Zanzibar koti la Muungano.
Nikisikia maneno kama haya ninakumbuka Nyerere aliwahi kusema kwa Katiba hii akija raisi mwendawazimu atatakuwa dikteta na kutawala milele.

Wajinga ndiyo waliwa
 
Mama atatumbuliwa 2025. So don't worry mleta mada.
 
Back
Top Bottom