GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
- Thread starter
- #21
Wao! I like it! Kwa herufi kubwa kabisa, LONG LIVE TANGANYIKA!Ni kweli Tanganyika ni ya watanganyika sisi, na tuna uchungu nayo.
Lakini mwisho wa siku Royal families za Tanganyika ndio zitakua na maamuzi ya nini kifanyike Tanganyika, au mpaka tuamue kuamka na huchukua hatua.
Long Live Tanganyika.
Najisikia furaha sana kutamka TANGANYIKA!!!
What a blessed Country, TANGANYIKA!!!