Huu ni uchawi!
Adui namba moja wa taifa letu ni CCMHawa washauri wanapata bei gani kwenye huu/hii miradi? Chanzo cha mapato kinatoka wapi?
Mpaka uchaguzi upite kuna watu watakuwa matrilionea..
Anyway tumsikilize Dr. Bagonza PhD kwanza kabla ya karamu ya mapichapicha...πView attachment 3256161
Jamaa wamewekeza Hadi kwenye MAJI ya kunywa πππππSasa twende karamuniView attachment 3256162