Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu ni uchawi!
Mama kaanza kampeni mapema kabla hata ccm hawajampitisha...
Ila ni aibu aisee
Adui namba moja wa taifa letu ni CCMHawa washauri wanapata bei gani kwenye huu/hii miradi? Chanzo cha mapato kinatoka wapi?
Mpaka uchaguzi upite kuna watu watakuwa matrilionea..
Anyway tumsikilize Dr. Bagonza PhD kwanza kabla ya karamu ya mapichapicha...ðŸ˜View attachment 3256161
Jamaa wamewekeza Hadi kwenye MAJI ya kunywa 😄😀😀😀😀Sasa twende karamuniView attachment 3256162