Tanganyika inateketea

Tanganyika inateketea

Hawa washauri wanapata bei gani kwenye huu/hii miradi? Chanzo cha mapato kinatoka wapi?
Mpaka uchaguzi upite kuna watu watakuwa matrilionea..
Anyway tumsikilize Dr. Bagonza PhD kwanza kabla ya karamu ya mapichapicha...😭View attachment 3256161
1741527523826.jpeg
 
Madin matupu kaongea asee ,

Maneno machache yenye ujumbe mkamilifu
 
Mkapa alimqambia Magufuli kuwa ile ni serikali ya CCM, si serikali ya Magufuli.

Samia anarudia yaleyale.
 
Back
Top Bottom