Wadau naomba maana na asili ya hili neno. Toka nakua ninasikia flani kabebwa na polisi kutumia Tanganyika jeki.
Hivi hii Tanganyika Jeki ni nini na ina uhusiano gani na watu wanavyokamatwa, na ilianza lini? Hope ni kabla ya uhuru (najaribu kuhisia).
Wenye mawazo mapana zaidi yangu karibuni.
Muwasilisho wa asubuhi!