Tanganyika Law Society (TLS) yalaani vikali tukio la mauaji ya wakili Joseph Masanja. Yataka serikali iingilie kati

Tanganyika Law Society (TLS) yalaani vikali tukio la mauaji ya wakili Joseph Masanja. Yataka serikali iingilie kati

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kimelaani tukio la kushambuliwa na kuuawa kwa mwanachama wake Wakili Joseph Masanja lililotokea Babati Mkoani Manyara.

Kupitia taarifa iliyotolewa na chama hicho Disemba 28, 2024 imeeleza kuwa mwili wa marehemu Wakili Masanja uliokotwa eneo la Bwalo la Magereza, Manyara na alifariki siku ya jumatatu tarehe 23/12/2024 jioni katika Hospitali ya Kanda ya Rufaa ya KCMC alipopelekwa kwa uchunguzi na matibabu zaidi.

Soma pia: TANZIA Wakili kesi ya Gekul afariki dunia Desemba 24, 2024

TLS imevitaka vyombo vinavyohusika na uchunguzi vichukue hatua za haraka ili kumpata/kuwapata waliitenda tukio hili la kikatili.

"Tunatoa wito kwa vyombo vya dola, hususan Jeshi la Polisi, kuanzisha uchunguzi wa kina na wa haraka juu ya tukio hili, kuhakikisha wahusika wanapatikana na kufikishwa mbele ya vyombo vya sheria ili kukomesha vitendo vya aina hii.”

Aidha TLS imeeleza kuwa tukio hili linatengeneza hofu juu ya hali ya kiusalama ya mawakili na wataalam wa sheria nchini huku wakiiomba serikali kuhakikisha wataalam hao pamoja ma watetezi wa haki za binadamu wanakuwa salama.

Taarifa ya TLS iliyosainiwa na Rais wa chama hicho Boniface Mwabukusi imemtambua Wakili Masanja kama mwanachama mwenye namba ya uwakili 7664.

Moja ya kesi zilizompa umaarufu marehemu Wakili Masanja ni kesi ya shambulio la kimwili kwa kijana Hashim Ally iliyokuwa ikimkabili Mbunge wa Babati Mjini Pauline Gekul.

1735457075430.jpeg

Source: Jambo TV
 
Aidha TLS imeeleza kuwa tukio hili linatengeneza hofu juu ya hali ya kiusalama ya mawakili na wataalam wa sheria nchini huku wakiiomba serikali kuhakikisha wataalam hao pamoja ma watetezi wa haki za binadamu wanakuwa salama.
Nadhani cha maana zaidi ni kuhakikisha kila Binadamu anakuwa salama be it ni mwanasheria, raia mgeni au hata wasiotetea haki..., Usalama ni Haki ya kila Binadamu

RIP Binadamu Mwenzangu
 
Wakuu,

Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kimelaani tukio la kushambuliwa na kuuawa kwa mwanachama wake Wakili Joseph Masanja lililotokea Babati Mkoani Manyara.

Kupitia taarifa iliyotolewa na chama hicho Disemba 28, 2024 imeeleza kuwa mwili wa marehemu Wakili Masanja uliokotwa eneo la Bwalo la Magereza, Manyara na alifariki siku ya jumatatu tarehe 23/12/2024 jioni katika Hospitali ya Kanda ya Rufaa ya KCMC alipopelekwa kwa uchunguzi na matibabu zaidi.

Soma pia: TANZIA Wakili kesi ya Gekul afariki dunia Desemba 24, 2024

TLS imevitaka vyombo vinavyohusika na uchunguzi vichukue hatua za haraka ili kumpata/kuwapata waliitenda tukio hili la kikatili.

"Tunatoa wito kwa vyombo vya dola, hususan Jeshi la Polisi, kuanzisha uchunguzi wa kina na wa haraka juu ya tukio hili, kuhakikisha wahusika wanapatikana na kufikishwa mbele ya vyombo vya sheria ili kukomesha vitendo vya aina hii.”

Aidha TLS imeeleza kuwa tukio hili linatengeneza hofu juu ya hali ya kiusalama ya mawakili na wataalam wa sheria nchini huku wakiiomba serikali kuhakikisha wataalam hao pamoja ma watetezi wa haki za binadamu wanakuwa salama.

Taarifa ya TLS iliyosainiwa na Rais wa chama hicho Boniface Mwabukusi imemtambua Wakili Masanja kama mwanachama mwenye namba ya uwakili 7664.

Moja ya kesi zilizompa umaarufu marehemu Wakili Masanja ni kesi ya shambulio la kimwili kwa kijana Hashim Ally iliyokuwa ikimkabili Mbunge wa Babati Mjini Pauline Gekul.

Source: Jambo TV
Mienendo ya Gekul ichunguzwe.
 
TLS, mjikite kutafuta haki ya mwanachama wenu!Huu ni unyama mkubwa.
Achaneni na mambo ya uchaguzi wa CDM.
 
Wakuu,

Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kimelaani tukio la kushambuliwa na kuuawa kwa mwanachama wake Wakili Joseph Masanja lililotokea Babati Mkoani Manyara.

Kupitia taarifa iliyotolewa na chama hicho Disemba 28, 2024 imeeleza kuwa mwili wa marehemu Wakili Masanja uliokotwa eneo la Bwalo la Magereza, Manyara na alifariki siku ya jumatatu tarehe 23/12/2024 jioni katika Hospitali ya Kanda ya Rufaa ya KCMC alipopelekwa kwa uchunguzi na matibabu zaidi.

Soma pia: TANZIA Wakili kesi ya Gekul afariki dunia Desemba 24, 2024

TLS imevitaka vyombo vinavyohusika na uchunguzi vichukue hatua za haraka ili kumpata/kuwapata waliitenda tukio hili la kikatili.

"Tunatoa wito kwa vyombo vya dola, hususan Jeshi la Polisi, kuanzisha uchunguzi wa kina na wa haraka juu ya tukio hili, kuhakikisha wahusika wanapatikana na kufikishwa mbele ya vyombo vya sheria ili kukomesha vitendo vya aina hii.”

Aidha TLS imeeleza kuwa tukio hili linatengeneza hofu juu ya hali ya kiusalama ya mawakili na wataalam wa sheria nchini huku wakiiomba serikali kuhakikisha wataalam hao pamoja ma watetezi wa haki za binadamu wanakuwa salama.

Taarifa ya TLS iliyosainiwa na Rais wa chama hicho Boniface Mwabukusi imemtambua Wakili Masanja kama mwanachama mwenye namba ya uwakili 7664.

Moja ya kesi zilizompa umaarufu marehemu Wakili Masanja ni kesi ya shambulio la kimwili kwa kijana Hashim Ally iliyokuwa ikimkabili Mbunge wa Babati Mjini Pauline Gekul.

Source: Jambo TV
Kulaani hakusaidii, ingia "msituni" maana kuna Mwabukusi na Lisu...Simba wanaoabudiwa
 
Wakuu,

Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kimelaani tukio la kushambuliwa na kuuawa kwa mwanachama wake Wakili Joseph Masanja lililotokea Babati Mkoani Manyara.

Kupitia taarifa iliyotolewa na chama hicho Disemba 28, 2024 imeeleza kuwa mwili wa marehemu Wakili Masanja uliokotwa eneo la Bwalo la Magereza, Manyara na alifariki siku ya jumatatu tarehe 23/12/2024 jioni katika Hospitali ya Kanda ya Rufaa ya KCMC alipopelekwa kwa uchunguzi na matibabu zaidi.

Soma pia: TANZIA Wakili kesi ya Gekul afariki dunia Desemba 24, 2024

TLS imevitaka vyombo vinavyohusika na uchunguzi vichukue hatua za haraka ili kumpata/kuwapata waliitenda tukio hili la kikatili.

"Tunatoa wito kwa vyombo vya dola, hususan Jeshi la Polisi, kuanzisha uchunguzi wa kina na wa haraka juu ya tukio hili, kuhakikisha wahusika wanapatikana na kufikishwa mbele ya vyombo vya sheria ili kukomesha vitendo vya aina hii.”

Aidha TLS imeeleza kuwa tukio hili linatengeneza hofu juu ya hali ya kiusalama ya mawakili na wataalam wa sheria nchini huku wakiiomba serikali kuhakikisha wataalam hao pamoja ma watetezi wa haki za binadamu wanakuwa salama.

Taarifa ya TLS iliyosainiwa na Rais wa chama hicho Boniface Mwabukusi imemtambua Wakili Masanja kama mwanachama mwenye namba ya uwakili 7664.

Moja ya kesi zilizompa umaarufu marehemu Wakili Masanja ni kesi ya shambulio la kimwili kwa kijana Hashim Ally iliyokuwa ikimkabili Mbunge wa Babati Mjini Pauline Gekul.

Source: Jambo TV
Nanyi MNAROPOKA SANA siku hizi badala ya kufanya kazi zenu za kitaaluma.
 
Wakuu,

Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kimelaani tukio la kushambuliwa na kuuawa kwa mwanachama wake Wakili Joseph Masanja lililotokea Babati Mkoani Manyara.

Kupitia taarifa iliyotolewa na chama hicho Disemba 28, 2024 imeeleza kuwa mwili wa marehemu Wakili Masanja uliokotwa eneo la Bwalo la Magereza, Manyara na alifariki siku ya jumatatu tarehe 23/12/2024 jioni katika Hospitali ya Kanda ya Rufaa ya KCMC alipopelekwa kwa uchunguzi na matibabu zaidi.

Soma pia: TANZIA Wakili kesi ya Gekul afariki dunia Desemba 24, 2024

TLS imevitaka vyombo vinavyohusika na uchunguzi vichukue hatua za haraka ili kumpata/kuwapata waliitenda tukio hili la kikatili.

"Tunatoa wito kwa vyombo vya dola, hususan Jeshi la Polisi, kuanzisha uchunguzi wa kina na wa haraka juu ya tukio hili, kuhakikisha wahusika wanapatikana na kufikishwa mbele ya vyombo vya sheria ili kukomesha vitendo vya aina hii.”

Aidha TLS imeeleza kuwa tukio hili linatengeneza hofu juu ya hali ya kiusalama ya mawakili na wataalam wa sheria nchini huku wakiiomba serikali kuhakikisha wataalam hao pamoja ma watetezi wa haki za binadamu wanakuwa salama.

Taarifa ya TLS iliyosainiwa na Rais wa chama hicho Boniface Mwabukusi imemtambua Wakili Masanja kama mwanachama mwenye namba ya uwakili 7664.

Moja ya kesi zilizompa umaarufu marehemu Wakili Masanja ni kesi ya shambulio la kimwili kwa kijana Hashim Ally iliyokuwa ikimkabili Mbunge wa Babati Mjini Pauline Gekul.

Source: Jambo TV
Alale mahali pema peponi
 
Wakuu,

Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kimelaani tukio la kushambuliwa na kuuawa kwa mwanachama wake Wakili Joseph Masanja lililotokea Babati Mkoani Manyara.

Kupitia taarifa iliyotolewa na chama hicho Disemba 28, 2024 imeeleza kuwa mwili wa marehemu Wakili Masanja uliokotwa eneo la Bwalo la Magereza, Manyara na alifariki siku ya jumatatu tarehe 23/12/2024 jioni katika Hospitali ya Kanda ya Rufaa ya KCMC alipopelekwa kwa uchunguzi na matibabu zaidi.

Soma pia: TANZIA Wakili kesi ya Gekul afariki dunia Desemba 24, 2024

TLS imevitaka vyombo vinavyohusika na uchunguzi vichukue hatua za haraka ili kumpata/kuwapata waliitenda tukio hili la kikatili.

"Tunatoa wito kwa vyombo vya dola, hususan Jeshi la Polisi, kuanzisha uchunguzi wa kina na wa haraka juu ya tukio hili, kuhakikisha wahusika wanapatikana na kufikishwa mbele ya vyombo vya sheria ili kukomesha vitendo vya aina hii.”

Aidha TLS imeeleza kuwa tukio hili linatengeneza hofu juu ya hali ya kiusalama ya mawakili na wataalam wa sheria nchini huku wakiiomba serikali kuhakikisha wataalam hao pamoja ma watetezi wa haki za binadamu wanakuwa salama.

Taarifa ya TLS iliyosainiwa na Rais wa chama hicho Boniface Mwabukusi imemtambua Wakili Masanja kama mwanachama mwenye namba ya uwakili 7664.

Moja ya kesi zilizompa umaarufu marehemu Wakili Masanja ni kesi ya shambulio la kimwili kwa kijana Hashim Ally iliyokuwa ikimkabili Mbunge wa Babati Mjini Pauline Gekul.

Source: Jambo TV
kwahiyo gentleman,
alipopelekwa katika hospitali ya Kanda ya Rufaa ya KCMC kwa uchunguzi na matibabu alikua na uzima au mauti?

na alipel;ekwa siku na tarehe ngapi huko hospitali, hata akafariki siku ya jumatatu tarehe 23/12/2024?

R.I.P adv.J.Masanja :whatBlink:
 
Back
Top Bottom