the horticulturist
JF-Expert Member
- Aug 24, 2012
- 1,959
- 1,907
Assallam Alleykum!
Poleni na majukumu ya kila siku. Mimi ni mtanzania mwenye leseni ya udereva ya Tanzania ila sasa niko kikazi Zanzibar (Unguja na Pemba) kazi itakayoniweka kwa zaidi ya miaka mitatu huku visiwani.
Kero yangu leseni yangu ya udereva huku haitumiki nimetafuta kibali cha kuendesha magari hivyo polisi akinisimamisha akiuliza leseni nampa leseni ya Tanzania na kibali cha kuendesha Zanzibar.
Swali langu kwanini kuna utofauti yaani kwanini leseni ya Tanzania haitumiki Zanzibar ilihali ni nchi moja?? Kibali inanibidi kila miezi mitatu nikate kingine na ni cha kulipia sio bure.
Naombeni ushauri wa kisheria kwanini leseni ya kuendesha magari ya Tanzania haikubaliki Zanzibar mpaka nikate kibali (driving permit) ambavyo naamini wanatakiwa wakate wageni ambao sio watanzania?
Kwanini uhalali wa leseni ya Tanzania haitumiki Zanzibar na kama sijakosea ya Zanzibar haitumiki bara?
Natanguliza shukrani
Poleni na majukumu ya kila siku. Mimi ni mtanzania mwenye leseni ya udereva ya Tanzania ila sasa niko kikazi Zanzibar (Unguja na Pemba) kazi itakayoniweka kwa zaidi ya miaka mitatu huku visiwani.
Kero yangu leseni yangu ya udereva huku haitumiki nimetafuta kibali cha kuendesha magari hivyo polisi akinisimamisha akiuliza leseni nampa leseni ya Tanzania na kibali cha kuendesha Zanzibar.
Swali langu kwanini kuna utofauti yaani kwanini leseni ya Tanzania haitumiki Zanzibar ilihali ni nchi moja?? Kibali inanibidi kila miezi mitatu nikate kingine na ni cha kulipia sio bure.
Naombeni ushauri wa kisheria kwanini leseni ya kuendesha magari ya Tanzania haikubaliki Zanzibar mpaka nikate kibali (driving permit) ambavyo naamini wanatakiwa wakate wageni ambao sio watanzania?
Kwanini uhalali wa leseni ya Tanzania haitumiki Zanzibar na kama sijakosea ya Zanzibar haitumiki bara?
Natanguliza shukrani