Tanganyika na Zanzibar ni sawa na Esau na Yakobo baada ya kubarikiwa!

Tanganyika na Zanzibar ni sawa na Esau na Yakobo baada ya kubarikiwa!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Huwa najiuliza sana Kwanini Yakobo (Israel) alitafuta kwa bidii kuzipata baraka za baba yake mzee Isaka.

Nikagundua Kuwa Kabla ya hapo Esau alishauza nafasi yake ya uzaliwa wa kwanza kwa Yakobo.

Na kila niikumbukapo Tanganyika namkumbuka Esau ambaye hatajwi tajwi tena Kwenye Biblia baada ya Yakobo (Israel) kubarikiwa.

Kwaresma njema!
 
Wazanzibar wao wanaruhusiwa kuingiza gari na kulitumia huku wakiwa wamelipa 30% ya kodi huku Watanganyika inatakiwa walipe 100% ya kodi yote na ni kubwa kuliko ya Wazanzibar...kizazi cha Tanganyika inaweza kuwa ndio hicho cha Essau...
 
Wazanzibar wao wanaruhusiwa kuingiza gari na kulitumia huku wakiwa wamelipa 30% ya kodi huku Watanganyika inatakiwa walipe 100% ya kodi yote na ni kubwa kuliko ya Wazanzibar...kizazi cha Tanganyika inaweza kuwa ndio hicho cha Essau...

Kwahili la tra ni majanga matupu.
 
Back
Top Bottom