Clever505
JF-Expert Member
- Jul 27, 2020
- 1,183
- 2,256
- Thread starter
- #41
Wao hawaitaki Tanzania tunawalazimisha tu, kama kuna faida ya kuulinda huu muungano kwa sisi watanganyika tuambiwe tujue. Kama vipi kila mtu abaki na nchi yakeWatu 10000 kama wewe wanatakiwa TANGANYIKA huenda TANGANYIKA yetu ikarudi!