Tanganyika Packers hapo Kawe ilishauzwa na PSRC kwa mwarabu mmoja toka mashariki ya kati; Adamjee alikuwa dalali tu. Mauzo ya kiwanda hiki yalipitishwa na waziri mkuu mstaafu Sumaye!! Kwahiyo kile kibabu cha Kawe club kinajidanganya tu siku ya siku wenyewe wakija itabidi waondoke; waarabu walilipa mamilioni ya shilingi. Taarifa za usahihi nadhani zipo Consolidated Holdings .