Tanganyika (Tanzania) Ingekuaje kama Wajerumani wangeshinda WW II

Tanganyika (Tanzania) Ingekuaje kama Wajerumani wangeshinda WW II

Katika jumuiya yote ya ulaya hakuna majitu katili kama wajerumani, hadi leo. Kwa hiyo kuwepo kwao kwetu mda mrefu kungetuongezea machungu. Weeeeeee, wale jama achana nao.
Shukuru tu haya maingereza yaliyaondoa.
 
Katika jumuiya yote ya ulaya hakuna majitu katili kama wajerumani, hadi leo. Kwa hiyo kuwepo kwao kwetu mda mrefu kungetuongezea machungu. Weeeeeee, wale jama achana nao.
Shukuru tu haya maingereza yaliyaondoa.
Waingereza na Wajerumani wenyewe hawapatani asilani, mwingereza ni mnafiki lakini anahuruma.
 
The African Great Lakes nation of Tanzania dates formally from 1964, when it was formed out of the union of the much larger mainland territory of Tanganyika and the coastal archipelago of Zanzibar. The former was a colony and part of German East Africafrom the 1880s to 1919, when, under the League of Nations, it became a British mandate. It served as a military outpost duringWorld War II, providing financial help, munitions, and soldiers. In 1947, Tanganyika became a United Nations Trust Territory under British administration, a status it kept until its independence in 1961. Zanzibar was settled as a trading hub, subsequently controlled by the Portuguese, the Sultanate of Oman, and then as a British protectorate by the end of the nineteenth century.

Julius Nyerere, independence leader and "baba wa taifa for Tanganyika" (father of the Tanganyika nation), ruled the country for decades, assisted by Abeid Amaan Karume, the Zanzibar Father of Nation. Following Nyerere's retirement in 1985, various political and economic reforms began. He was succeeded in office by President Ali Hassan Mwinyi.


Nchi yetu ilipewa Uingereza baada ya vita ya 1 na siyo ya 2 hivyo wkt wa vita ya 2 tulikuwa hatuna uhusiano na Ujerumani tena!
 
Walishinda ya kwanza na kushindwa ya pili mkuu. Ndiyo mwingereza alikuja huku kwetu.
Nadhani tatizo lako lipo hapa.

Ukweli ni kwamba Wajerumani wakishawapata vita ya kwanza ya Dunia (1914-1918) na ndipo wakanyang'anywa makoloni yao ya Deutscheostafrika (yaani eneo love la Tanzania bara, Rwanda na Burundi), Namibia (kusini mwa Afrika) pamoja na Togo na Kamerun huko Afrika ya Magharibi. Katika vita ya pili ya dunia Wajerumani walipigwa kwa mara ya pili.

Tafadhali tembelea vyanzo vyako kwa mara nyingine.
 
Nadhani tatizo lako lipo hapa.

Ukweli ni kwamba Wajerumani wakishawapata vita ya kwanza ya Dunia (1914-1918) na ndipo wakanyang'anywa makoloni yao ya Deutscheostafrika (yaani eneo love la Tanzania bara, Rwanda na Burundi), Namibia (kusini mwa Afrika) pamoja na Togo na Kamerun huko Afrika ya Magharibi. Katika vita ya pili ya dunia Wajerumani walipigwa kwa mara ya pili.

Tafadhali tembelea vyanzo vyako kwa mara nyingine.
Asante mkuu lakini tulishaliweka hili sawa na mkuu Barbarosa.
 
Makoloni ya Mjerumani Afrika ilikua Tanganyika na Namibia,
Deutsche Ost Afrika(German East Africa) ni Nchi tatu Tanganyika, Rwanda na Urundi(Burundi), Makoloni mengine yalikuwa ni Namibia(Deutsche Süd West Afrika); Kamerun na Togo.

Walishinda ya kwanza na kushindwa ya pili mkuu. Ndiyo mwingereza alikuja huku kwetu.

Mwingereza hakuja tu kwa hiari au kwa kushinda vita bali, alikabidhiwa Tanganyika na Umoja wa Mataifa( League of Nation) aisimamie kama baba mlezi mpaka itakapokuwa na uwezo wa Kujitawala.
Rwanda na Urundi alikabidhiwa Ubelgiji(Ubeleji) , Togo na Kamerun alikabidhiwa Ufaransa.
Ujerumani akaachiwa Namibia pekee.
 
Deutsche Ost Afrika(German East Africa) ni Nchi tatu Tanganyika, Rwanda na Urundi(Burundi), Makoloni mengine yalikuwa ni Namibia(Deutsche Süd West Afrika); Kamerun na Togo.



Mwingereza hakuja tu kwa hiari au kwa kushinda vita bali, alikabidhiwa Tanganyika na Umoja wa Mataifa( League of Nation) aisimamie kama baba mlezi mpaka itakapokuwa na uwezo wa Kujitawala.
Rwanda na Urundi alikabidhiwa Ubelgiji(Ubeleji) , Togo na Kamerun alikabidhiwa Ufaransa.
Asante nilifahamu kukabidhiwa nchi kwa Mwingereza na ndiyo maana Nyerere alikwenda UN kueleza kuwa tukotayari kujitawala.
 
Pia ninaona kwa muda aliokaa Mwingereza kama mkoloni hakutenda mengi kwani alijua yeye ni mdhamini tu, nguvu yake nyingi aliielekeza Kenya.
 
Wajerumani walikuwa na mipango mikubwa sana na Dutch East Africa, mipango hiyo yote ilizimika baada ya kushindwa kwao katika vita kuu ya pili ya dunia (II WW). Makoloni ya Mjerumani Afrika ilikua Tanganyika na Namibia, lakini mapenzi yao makubwa yalikua Tanganyika na waliamua kuifanya ndio makao yao makuu ya Afrika. Ulishawahi kufiikira tungekua wapi kama wangeshinda wajerumani.
Samahani kidogo ni vita vya kwanza vya dunia kati ya 1914 na 1918.
 
Sky chat Umenichekesha,
Makaburu ni wadutch (wajerumani) wa koo zilioingia tangu miaka ya 1650-Kumbuka kilichotoke soweto na kwingineko
Hitller mtawala wa Ujerumani, kumbuka alichowafanya wayahudi (israel)
Ni kweli wangejenga miundo mbinu kwa ajili yao, lakini ungechelewa sana kuitumia. Kuna faida gani, Miundo mbinu mizuri africa kusini (bararabara, hospitali, shule, migahawa, bar, n.k) imekuwepo tangu 1650s, waafrica wameanza kupata lau harufu yake karibia 1992.
Afadhali waliondoka tuhangaike wenyewe.
Makaburu ni mchanganyiko Wa waholanz(dutch),wafaransa waliokimbia mateso ya wafalme(haguenotes) na wajeruman wachache.wajeruman siyo wa Dutch,nchi yao wao wanaiita Deutch tamka dochi,Waswahili wakawaita wa dutch.hivyo tujaribu kutofautisha ili kuweka kumbukumbu sahihi.
?
 
Pia ninaona kwa muda aliokaa Mwingereza kama mkoloni hakutenda mengi kwani alijua yeye ni mdhamini tu, nguvu yake nyingi aliielekeza Kenya

Ni kweli hakufanya chochote zaidi ya kuchota rasilimali zetu tu.
Kenya na Uganda sababu yalikuwa makoloni yake alifanya mengi.
.
 
Walishinda ya kwanza na kushindwa ya pili mkuu. Ndiyo mwingereza alikuja huku kwetu.
Do not falsefy historical fact,wajeruman walishindwa vita zote mbili ww1 na ww2.Ww1 ndiyo iliyowafanya wakapoteza makoloni yote Africa na hivyo vita ilipiganwa sehemu mbalimbali za Africa,kwa Ww2 vta kias kikubwa haikupiganiwa Africa kwa sababu ukiondoa Ethiopia na Africa kaskazin kwa Muitaliano mataifa ya Axis hayakuwa na makoloni.Ww2 ilikuja kama njia ya Ujeruman kurejesha makoloni aliyopoteza wakati was ww1 pamoja na mambo mengine
 
Ukweli ni kwamba,kwasababu tulishaingia kwenye maisha yao,mjeruman angetufaa sana maana hili lilikuwa ni kolon lake hivyo angepora raslimali nyingi lakini pia angeacha infrastructures nyingi Sana kunuondoa ingesumbua SNA na siasa ya ujamaa huenda isingesomeka katika historian yetu.
 
Historia inaonesha Tanganyika ilitwaliwa na Uingereza baada ya Ujerumani kushindwa WW I(1914-1918). Wakati wa vita vya WW II, tayari mjerumani alikwishapoteza makoloni yake siku nyingi.
Mjerumani alipokonywa makoloni mnamo mwaka 1919 kama adhabu ya kumpunguza nguvu ili asiweze kusababisha vita tena , baada ya mkutano wa usuluhishi wa Versailles, nchini Ufaransa.
 
Back
Top Bottom