Tanganyika: Wanakijiji kutembea umbali wa zaidi ya kilomita 50 kufuata huduma za Afya

Tanganyika: Wanakijiji kutembea umbali wa zaidi ya kilomita 50 kufuata huduma za Afya

Bushmamy

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2019
Posts
9,140
Reaction score
15,963
Wananchi wa vijiji vya Bungwe, vikonge, Ngomalusambo katika kata ya Tongwe wilayani Tanganyika katika mkoa wa katavi wamekuwa wakikabiliwa na changamoto mbalimbali na kubwa zaidi ni kokosekana kwa zahanati katika vijiji vyao,.

Wanakijiji wa kutoka kijiji cha Bungwe wamekuwa wakisafiri umbali wa kilomita zaidi ya 50 kufuata huduma za Afya katika kijiji cha Majalila kilichopo katika kata hiyo ya Tongwe.

Ally mashaka ambae ni Mwenyekiti wa kijiji cha Majalila amesema kuwa wanakijiji kutoka vijiji jirani hulazimika kulipa boda boda elf 20 na elfu kumi ya mafuta ya pikipiki na hivyo kufanya jumla ya usafiri ni elfu 30. Kufuata huduma za Afya katika kijiji chake ambacho ndio chenye zahanati na kituo cha afya ambavyo vyote havina huduma ya kulaza wagonjwa wala kuwekewa damu.

Kukosekana kwa zahanati katika hivyo pamoja na gharama usafiri zimesababisha wanawake wengi kujifungulia majumbani jambo ambalo ni hatari kwa uhai wao na hata wakati mwingine husababisha vifo

Mbali na Kukosekana kwa zahanati katika vijiji hivyo pia ukosefu wa huduma ya maji safi na salama kwani visima walivyojengewa na wahisani vingi vimeharibika na havifanyi kazi hivyo basi hutumia maji ya. Mito pamoja na mifugo ambayo sio salama kwa afya zao.

Miundombinu ya barabara pia ni tatizo katika kata hiyo kwani barabara zenyewe ni mbovu na hazijachongwa.
 
Dah! kilomita 50 ni nyingi sana kwa kufata huduma za afya za awali

Bila shaka uwo umbali umeshaondoka na roho za watu wengi
 
Ngoja tutunue ndege kwanza, nyie tumieni miti shamba kwanza
 
Maendeleo mengi yapo mjini tu vijijini bado sana
 
Hapa ndipo tutaona kama wabunge watanoa vichwa au laah
Wananchi wa vijiji vya Bungwe, vikonge, Ngomalusambo katika kata ya Tongwe wilayani Tanganyika katika mkoa wa katavi wamekuwa wakikabiliwa na changamoto mbalimbali na kubwa zaidi ni kokosekana kwa zahanati katika vijiji vyao,.

Wanakijiji wa kutoka kijiji cha Bungwe wamekuwa wakisafiri umbali wa kilomita zaidi ya 50 kufuata huduma za Afya katika kijiji cha Majalila kilichopo katika kata hiyo ya Tongwe.

Ally mashaka ambae ni Mwenyekiti wa kijiji cha Majalila amesema kuwa wanakijiji kutoka vijiji jirani hulazimika kulipa boda boda elf 20 na elfu kumi ya mafuta ya pikipiki na hivyo kufanya jumla ya usafiri ni elfu 30. Kufuata huduma za Afya katika kijiji chake ambacho ndio chenye zahanati na kituo cha afya ambavyo vyote havina huduma ya kulaza wagonjwa wala kuwekewa damu.

Kukosekana kwa zahanati katika hivyo pamoja na gharama usafiri zimesababisha wanawake wengi kujifungulia majumbani jambo ambalo ni hatari kwa uhai wao na hata wakati mwingine husababisha vifo

Mbali na Kukosekana kwa zahanati katika vijiji hivyo pia ukosefu wa huduma ya maji safi na salama kwani visima walivyojengewa na wahisani vingi vimeharibika na havifanyi kazi hivyo basi hutumia maji ya. Mito pamoja na mifugo ambayo sio salama kwa afya zao.

Miundombinu ya barabara pia ni tatizo katika kata hiyo kwani barabara zenyewe ni mbovu na hazijachongwa.
 
Hata Shule , vituo vya Polisi , bank n.k vijijini hakuna hadi uende Wilayani ambako ni mbali sana na vijiji
 
Hata Shule , vituo vya Polisi , bank n.k vijijini hakuna hadi uende Wilayani ambako ni mbali sana na vijiji
Haswa vijiji vilivyozungukwa na mapori ni hatari kutokana na kuwa ni ngumu kufikiwa na huduma muhimu za kijamii
 
Wananchi wa vijiji vya Bungwe, vikonge, Ngomalusambo katika kata ya Tongwe wilayani Tanganyika katika mkoa wa katavi wamekuwa wakikabiliwa na changamoto mbalimbali na kubwa zaidi ni kokosekana kwa zahanati katika vijiji vyao,.

Wanakijiji wa kutoka kijiji cha Bungwe wamekuwa wakisafiri umbali wa kilomita zaidi ya 50 kufuata huduma za Afya katika kijiji cha Majalila kilichopo katika kata hiyo ya Tongwe.

Ally mashaka ambae ni Mwenyekiti wa kijiji cha Majalila amesema kuwa wanakijiji kutoka vijiji jirani hulazimika kulipa boda boda elf 20 na elfu kumi ya mafuta ya pikipiki na hivyo kufanya jumla ya usafiri ni elfu 30. Kufuata huduma za Afya katika kijiji chake ambacho ndio chenye zahanati na kituo cha afya ambavyo vyote havina huduma ya kulaza wagonjwa wala kuwekewa damu.

Kukosekana kwa zahanati katika hivyo pamoja na gharama usafiri zimesababisha wanawake wengi kujifungulia majumbani jambo ambalo ni hatari kwa uhai wao na hata wakati mwingine husababisha vifo

Mbali na Kukosekana kwa zahanati katika vijiji hivyo pia ukosefu wa huduma ya maji safi na salama kwani visima walivyojengewa na wahisani vingi vimeharibika na havifanyi kazi hivyo basi hutumia maji ya. Mito pamoja na mifugo ambayo sio salama kwa afya zao.

Miundombinu ya barabara pia ni tatizo katika kata hiyo kwani barabara zenyewe ni mbovu na hazijachongwa.
mikoa mipya changamoto sana
 
Maendeleo mengi yapo mjini tu vijijini bado sana
Na lina sababu nyingi sana hili.likiwemo manispaa kutokuwa na ofisi vijijini.hili JPM aliwahi semea nakuagiza wahamie maeneo yao wanayosimamia.
 
Na lina sababu nyingi sana hili.likiwemo manispaa kutokuwa na ofisi vijijini.hili JPM aliwahi semea nakuagiza wahamie maeneo yao wanayosimamia.
Sahivi inatakiwa vituo vya afya, hospital Kubwa pamoja vyuo vijengwe vijijini ili kuweka uwiano sawa hii pia itasaidia kupunguza population katika miji mikubwa.
 
Back
Top Bottom