Tanganyika yetu hiyo yarudi kwa kishindo

Tanganyika yetu hiyo yarudi kwa kishindo

Tanganyika, my motherland!! mikosi yote imetokana na sisi kukutosa wewe! umerudi kutuokoa
 
karibu TANGANYIKA WANGU, NILIZALIWA HATA SIJAKUKUTA NYUMBANI, NILILELEWA NA BABA TANZANIA NA MAMA WA KAMBO ZANZIBAR, KARIBU SANA MAMA ANGU TANGANYIKA, WANAO BADO TUNAKUHITAJI SANA

Hahaaa kwa haya mashairi yako kama Mtanganyika nakupendekeza uwepo katika timu ya watu watakao tunga wimbo wa Taifa wa Tanganyika.
 
wewe utajikuta huna uraia wowote, ngoja Tanganyika irudi halafu wewe unakomaa na never existing Tanzania

Tutaona kwenye 2/3 kama hili neno lenu la kijinga litapitishwa kwenye katiba mpya! Mimi ni Mtanzanian kwanza sipendi jina baya hilo eti Tanganyika! Loo!
 
Tutaona kwenye 2/3 kama hili neno lenu la kijinga litapitishwa kwenye katiba mpya! Mimi ni Mtanzanian kwanza sipendi jina baya hilo eti Tanganyika! Loo!

Watanganyika ni wengi, 2/3 ya CCM unayoitegemea wewe haina mashiko. All in All Tanganyika is back the land we love!!
 
Tanganyika *2
nakupenda kwa moyo woteeeeee.
Nchi yangu tanganyika,jina lako ni tamu sanaaaaaaa.
 
naipenda sana TANGANYIKA YANGU nakumbuka kuna wabunge enzi zile za chama kimoja waliitetea lakini walionekana kama wasaliti , sasa hiyo imefika kweli waliosema haki ya mtu inachelewesha lakini huwezi kuizuia ,hongera sana Jaji josefu Sinde Walioba na Wajumbe wote wa katiba mpya na hongera sana Watanganyika ,mchakato wa katiba ya Tanganyika Uanze mara moja
 
A powerful Kingdom like USA , UK, CHINA was formed by united Nashangaa sana sisi vinchi maskini kama nin Hatuioni thamani ya huu muungano**** "ALIE UCHANGANYA MCHANGA LEO MCHANGA UMEMFUKIA" ni baadhi ya kauli zawakosaji
 
Hahaaa kwa haya mashairi yako kama Mtanganyika nakupendekeza uwepo katika timu ya watu watakao tunga wimbo wa Taifa wa Tanganyika.

lakini mkuu, ukumbuke kabla ya huyu mama wa kambo tulikuwa tunatumia wimbo huu wa sasa, hivyo Tanzania itabidi itafute wimbo mwingine
 
Nyie Watanganyika miaka yote mulikuwa mumelala fofofo sisi Wazanzibari tulikuwa na mpaka leo tunakupiganieni irejeshwe Tanganyika yenu iliyojificha ndani ya Tanzania ikawa wengi wenu munatuona wabaya kwa kusema Tanganyika imekufa. Mpaka leo mzee Warioba kakuamsheni kwenye huo usingizi ndio sasa munaanza kuipenda na kuitaka tena Tanganyika. Wanasiasa kina Nyerere ndio waliokupotezeni. Wazanzibari tuko pamoja na nyie katika kudai nchi yenu Tanganyika. All the best
 
Ni ngumu mkuu kuwa na hati ya kusafiria ya Tanganyika manake uraia ni wa Tanzania ila utaifa ni wa Tanganyika na Zanzibar so hakutakuwa na hati ya kusafiria ya Tanganyika au Zanzibar. Tutatumia ya Tanzania sema tu unaweza kuwa na uraia wa nchi mbili kama kuwa mtanzania na kuwa Mkenya kwa wakati huo huo!!!!

Hili suala limetajwa wapi mkuu. Nimepitia rasimu, nikitafuta hiki kitu lakini sijaona. Kama hutajali hebu tuwekee hapa hicho kipengele.
 
Hili suala limetajwa wapi mkuu. Nimepitia rasimu, nikitafuta hiki kitu lakini sijaona. Kama hutajali hebu tuwekee hapa hicho kipengele.
Mkuu hizi ni implications za yaliyotajwa kwenye rasimu!!!!!!
 
Tanganyika (Azimio la Arusha) ikirudi mafisadi watatafuta machaka maana watakuwa wanakimbizwa na mzimu wa mwalimu kila siku. Huku Tanzania walikuwa wanajifichia Zenji (Azimio la Zanzibar)
 
Ikisharudi nini kitakachobadilika katika maisha yako ya kila siku?
Kwanza soma Historia na upende asili yako...kuwa tu Mtanganyiko hila badiliko la kwanza. Mengine ni kudumisha mahusiano ya watanganyika (kama wewe mzanzibar; unakumbuka mlianza kumbagua mpemba toka muunguja). Heshima ya kujitawala kwa uhuru kamili wa Tanganyika. Proud (sifa) ya kuwa mtanganyika. Na sasa EAC inanyemelea ardhi yetu, tutakuwa huru kumiliki ardhi yetu na wao waje kuwekeza tu na siyo kuinunua. Tanzania ilikaribisha ufisadi...Tanganyika haikubali ufisadi na kadhalika
 
Back
Top Bottom