TANGAZO: Demiss nimepewa Talaka 3 rasmi Leo!

[emoji4][emoji4][emoji4]ulikua wapi toka zaman mie naswampa tu hv jaman[emoji4][emoji4]..!asante mama kunizaa -ke! Nitakupa mapenzi full package..raha rahani...tutakuwa tunnadendeka barabaran tu kama sister fey na kiben ten chake
Kudendeka ni pie, hadi wale vegetables wa lumumba waone gere.
Kwani ule usafiri wako wa siku zote umeuza my wangu to be ?
 
Madame B hope upo idodomya take care of ths girl asikonde kwa mawazuuu.mpigishe ma k vant awe sawa😊
Demiss umeona maagizo kutoka kwa dada yako?
Ila manengelo, usikonde, hawezi pata mawazo, mie mwenyewe nimepigwa talaka na Mung Chris na bado nadamshi....vibe kama loteeeee!!!!
Kwanza bora amekuwa huru...tutazurura nae popote.
Mshana Jr alikuwa anambana bure.....hahhaha
 
😂😂😂wanakaba mnooo khaaa mtu ht usidange jamn😶...
 
Kudendeka ni pie, hadi wale vegetables wa lumumba waone gere.
Kwani ule usafiri wako wa siku zote umeuza my wangu to be ?
ule wa nn ss namba c?😑mie nataka new no... wale maruhan wa ccm😂
 
Shoga usijali utapata zaidi ya mshana,,soon mambo mazurii yanakuja watu wengine wanachukua jumla watu ama nene [emoji8][emoji8][emoji8] usinisahau mwa....
Wee tena utadamshi kama yoteee sijui nifanyie Morena au Nashera
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]new danga girl [emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…