TANGAZO: Demiss nimepewa Talaka 3 rasmi Leo!

TANGAZO: Demiss nimepewa Talaka 3 rasmi Leo!

Muzine

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2017
Posts
32,366
Reaction score
60,453
Wale wa kushangilia Demiss kupewa talaka semaa oyooooooooo!


Kuanzia leo mm siyo mke wa mtu nipo single kuendesha gurudumu la maishaa.

Sijaachana kwa ubaya na kalumanzila ila alichokihitaji mm niwe na Kazi nzuri inayoniingizia mshahara niwe katika mazingira ya kujiendesha siyo kutegemea mwanamme .
Baada ya kukamilisha yote hayo kwangu ndio akaniambia amefurahi kuona najiweza kimaisha ndo alichopanga kunifanyiaa hicho.

Inaniuma lakini hakuna namna jamani inaumaaa Demiss miyeee sijui nilie kichagaa ila ngoja nivumilie.


Wale waliokuwa hawapendi mahusiano yangu leo watakunywa biaaa wengine watanyaaaa kwa suruali pooh


Na ndo nimeshaachika sasa nitafanyaje sasa jamani khaaa .

Ila mimi siyo wa kwanzaa jamani ila kwa kuwa ni Demiss naonekana wa ajabuu ila sawa tu nakubali mapovu yoteeeeew.


Nyongeza:
Sitaki maswali jamani mtaniumiza rohoo hata mm nina moyoo sina chumaa.

Iiiih nalia mm jamani naliiiiaaaa iiiiih msione naandika hivi nimejikaza kisabuni iiiiiii jamani iiiiiiih uuuuuuuh jamani mm Demiss nitaringa wapi mm eeeeeeeh iiiiiii


Location: Platnum Mapinga.
20181006_201238.jpg


Jibu kutoka kwa mshana:::::

From the moment I knew you till we came end of our road, you have been a wonderful woman, a best friend and unique lover   
Nothing last forever, we came to this end with mutual respect and understanding... We were friends, then we become lovers... Now we can still be friends...
We had wonderful moments I will never forget them and I will always honor them with undeleted memories....
Zijapopita siku za furaha tusihuzunike bali tufurahi kwakuwa zilikuwako.... [emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
 
SA KAMA UNALAZIMISHA JAMAA AISHIE NJIANI BILA KUFIKA KILELENI KWANINI ASIKUACHE 😉😉
 
Wale wa kushangilia Demiss kupewa talaka semaa oyooooooooo!


Kuanzia leo mm siyo mke wa mtu nipo single kuendesha gurudumu la maishaa.

Sijaachana kwa ubaya na kalumanzila ila alichokihitaji mm niwe na Kazi nzuri inayoniingizia mshahara niwe katika mazingira ya kujiendesha siyo kutegemea mwanamme .
Baada ya kukamilisha yote hayo kwangu ndio akaniambia amefurahi kuona najiweza kimaisha ndo alichopanga kunifanyiaa hicho.

Inaniuma lakini hakuna namna jamani inaumaaa Demiss miyeee sijui nilie kichagaa ila ngoja nivumilie.


Wale waliokuwa hawapendi mahusiano yangu leo watakunywa biaaa wengine watanyaaaa kwa suruali pooh


Na ndo nimeshaachika sasa nitafanyaje sasa jamani khaaa .

Ila mimi siyo wa kwanzaa jamani ila kwa kuwa ni Demiss naonekana wa ajabuu ila sawa tu nakubali mapovu yoteeeeew.


Nyongeza:
Sitaki maswali jamani mtaniumiza rohoo hata mm nina moyoo sina chumaa.

Iiiih nalia mm jamani naliiiiaaaa iiiiih msione naandika hivi nimejikaza kisabuni iiiiiii jamani iiiiiiih uuuuuuuh jamani mm Demiss nitaringa wapi mm eeeeeeeh iiiiiii


Location: Platnum Mapinga. View attachment 975950
Ngoja tuchangamkie fursa hii,kalumanzila alikua anatuogopesha kwa mambo yake kuja pm,ngoja tuje kuyajenga ss
 
Ilibidi uvumilie tu! Kuto kukufikisha kileleni isiwe ndiyo sababu. Ni kawaida tu hiyo!
 
Pole ila kabla hajakupa taraka ungemwambia akununulie hata nokia ya tochi hiyo simu gani jina lenyewe kama matusi, anyway hii itakua fursa kwa kiben ten ili tupunguze vijana wanaojirusha gorofani kwa kukosa ajira
 
Back
Top Bottom