TANGAZO: Demiss nimepewa Talaka 3 rasmi Leo!

TANGAZO: Demiss nimepewa Talaka 3 rasmi Leo!

From the moment I knew you till we came end of our road, you have been a wonderful woman, a best friend and unique lover [emoji3590] [emoji3590] [emoji3590]
Nothing last forever, we came to this end with mutual respect and understanding... We were friends, then we become lovers... Now we can still be friends...
We had wonderful moments I will never forget them and I will always honor them with undeleted memories....
Zijapopita siku za furaha tusihuzunike bali tufurahi kwakuwa zilikuwako.... [emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]

Brother kumbe kizungu kinapanda?

Mganga wa kisasa[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Wale wa kushangilia Demiss kupewa talaka semaa oyooooooooo!


Kuanzia leo mm siyo mke wa mtu nipo single kuendesha gurudumu la maishaa.

Sijaachana kwa ubaya na kalumanzila ila alichokihitaji mm niwe na Kazi nzuri inayoniingizia mshahara niwe katika mazingira ya kujiendesha siyo kutegemea mwanamme .
Baada ya kukamilisha yote hayo kwangu ndio akaniambia amefurahi kuona najiweza kimaisha ndo alichopanga kunifanyiaa hicho.

Inaniuma lakini hakuna namna jamani inaumaaa Demiss miyeee sijui nilie kichagaa ila ngoja nivumilie.


Wale waliokuwa hawapendi mahusiano yangu leo watakunywa biaaa wengine watanyaaaa kwa suruali pooh


Na ndo nimeshaachika sasa nitafanyaje sasa jamani khaaa .

Ila mimi siyo wa kwanzaa jamani ila kwa kuwa ni Demiss naonekana wa ajabuu ila sawa tu nakubali mapovu yoteeeeew.


Nyongeza:
Sitaki maswali jamani mtaniumiza rohoo hata mm nina moyoo sina chumaa.

Iiiih nalia mm jamani naliiiiaaaa iiiiih msione naandika hivi nimejikaza kisabuni iiiiiii jamani iiiiiiih uuuuuuuh jamani mm Demiss nitaringa wapi mm eeeeeeeh iiiiiii


Location: Platnum Mapinga. View attachment 975950

Jibu kutoka kwa mshana:::::

From the moment I knew you till we came end of our road, you have been a wonderful woman, a best friend and unique lover   
Nothing last forever, we came to this end with mutual respect and understanding... We were friends, then we become lovers... Now we can still be friends...
We had wonderful moments I will never forget them and I will always honor them with undeleted memories....
Zijapopita siku za furaha tusihuzunike bali tufurahi kwakuwa zilikuwako.... [emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
Ndo umerudi jamvini?
 
From the moment I knew you till we came end of our road, you have been a wonderful woman, a best friend and unique lover [emoji3590] [emoji3590] [emoji3590]
Nothing last forever, we came to this end with mutual respect and understanding... We were friends, then we become lovers... Now we can still be friends...
We had wonderful moments I will never forget them and I will always honor them with undeleted memories....
Zijapopita siku za furaha tusihuzunike bali tufurahi kwakuwa zilikuwako.... [emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]

Maneno ya kiume haya, we all go through these moments.

“Life is like a book. Some chapters sad, some happy, and some exciting. But if you never turn the page. You will never know what the next chapter holds.”
 
Maneno ya kiume haya, we all go through these moments.

“Life is like a book. Some chapters sad, some happy, and some exciting. But if you never turn the page. You will never know what the next chapter holds.”
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji91][emoji144]
 
From the moment I knew you till we came end of our road, you have been a wonderful woman, a best friend and unique lover [emoji3590] [emoji3590] [emoji3590]
Nothing last forever, we came to this end with mutual respect and understanding... We were friends, then we become lovers... Now we can still be friends...
We had wonderful moments I will never forget them and I will always honor them with undeleted memories....
Zijapopita siku za furaha tusihuzunike bali tufurahi kwakuwa zilikuwako.... [emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
Mtani naona maneno kuntu kabisa ya kuhifadhia kiporo ili kisilete shida wakati wa kupasha.
 
Back
Top Bottom