iPad ya Apple
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 322
- 126
Ni Lille ambalo Mhindi anasikika aki pretend kumuagiza Juma ambaye ni mfanyakazi wake (Dreva)
akawachukue watoto wake Shuleni kumbe yeye anamaanisha mademu. Juma anamwambia mhindi naenda kuwachukua zen yule mhindi anamwambia Kuwa waambie watoto natuma pesa kwa M Pesa, Dreva anababaika lakini mhind anaishia ku mwambia Jumaaaa totoooo,totoooo Juma hijui totooo? Juma chumbani totoooo!!! Baada ya hapo Juma anagundua Kuwa Bosi anamaanisha wasichana. Kwa kweli hili Tangazo linabore sana pale linaposikika ukiwa umekaa na mzazi wako hasa wa jinsia ya tofauti na yako.
My take, Ni bora Vodacom wakaangalia namna ya Kuwa na matangazo mazuri, kuliko hili linaloleta fedheha katika sebule za watu. waige ubunifu wa Airtel ktk matangazo Kama lile la Hamia Airtel, Airtel ya tosha na hihi ya Hakatwi mtu hapa.
akawachukue watoto wake Shuleni kumbe yeye anamaanisha mademu. Juma anamwambia mhindi naenda kuwachukua zen yule mhindi anamwambia Kuwa waambie watoto natuma pesa kwa M Pesa, Dreva anababaika lakini mhind anaishia ku mwambia Jumaaaa totoooo,totoooo Juma hijui totooo? Juma chumbani totoooo!!! Baada ya hapo Juma anagundua Kuwa Bosi anamaanisha wasichana. Kwa kweli hili Tangazo linabore sana pale linaposikika ukiwa umekaa na mzazi wako hasa wa jinsia ya tofauti na yako.
My take, Ni bora Vodacom wakaangalia namna ya Kuwa na matangazo mazuri, kuliko hili linaloleta fedheha katika sebule za watu. waige ubunifu wa Airtel ktk matangazo Kama lile la Hamia Airtel, Airtel ya tosha na hihi ya Hakatwi mtu hapa.