Manjagata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 13,942
- 15,371
Umezoea Dereva.
Ndo Kiswahili chake!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umezoea Dereva.
Hata Makamba Jr na TCRA yake?
Ipad,
I support you. Nadhani kuna maadili ambayo hawa wafanyabiashara wanatakiwa kuyazingatia wanapoandaa matangazo, na pia nadhani ni muhimu kuzingatia uhusiano wa mambo/elements katika tangazo lenyewe. Kwa hapo nadhani inaweza kutafsiriwa kuwa Vodacom wanakubaliana na suala la watu wazima (sugar dadies) kuwatongoza watoto walio shuleni. (jambo ambalo siyo lengo la Voda). Aliyeandaa tangazo alilenga zaidi kuwavutia/kuwaburudisha wasikilizaji hadi akasahau kuzingatia maadili/maudhui. Mtazamo wangu.
Mungu ibariki Tanzania.