Tangazo Hili la Vodacom linatia Aibu.

Tangazo Hili la Vodacom linatia Aibu.

Ipad,

I support you. Nadhani kuna maadili ambayo hawa wafanyabiashara wanatakiwa kuyazingatia wanapoandaa matangazo, na pia nadhani ni muhimu kuzingatia uhusiano wa mambo/elements katika tangazo lenyewe. Kwa hapo nadhani inaweza kutafsiriwa kuwa Vodacom wanakubaliana na suala la watu wazima (sugar dadies) kuwatongoza watoto walio shuleni. (jambo ambalo siyo lengo la Voda). Aliyeandaa tangazo alilenga zaidi kuwavutia/kuwaburudisha wasikilizaji hadi akasahau kuzingatia maadili/maudhui. Mtazamo wangu.

Mungu ibariki Tanzania.

nakubaliana na wewe tangazo hilo hilo linakwra sana
 
Back
Top Bottom