SHIEKA
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 8,240
- 4,265
Kuna tangazo linarudiwarudiwa sana kwenye kituo cha televisheni ya star (startv).Tangazo linahusu ubora wa king'amuzi cha continental.
Anayekisifia king'amuzi hiki anatoa maneno mengi ya sifa huku akisema:"King'amuzi cha continental kiko vizuri sana, tena hakisklachisklachi, ni klia kabisa"
Imekuwaje wahusika wa tangazo hili wakaridhika na lugha iliyotumika kwenye hayo maneno niliyobold? Lipo neno la kiswahili sanifu linaloweza kutumika kuelezea dhana iliyomo kwenye neno nililobold.
Sklachi ni matamshi mabovu ya neno la kiingereza 'scratch'. Kiswahili fasaha ni 'kukwaruza'
Huyo mtangazaji (ni mhusika pia kwenye komedi ya futuhi) alitakiwa aseme: "hicho king'amuzi hakikwaruzikwaruzi.
Angesema hivyo ningejisikia vizuri sana.
Anayekisifia king'amuzi hiki anatoa maneno mengi ya sifa huku akisema:"King'amuzi cha continental kiko vizuri sana, tena hakisklachisklachi, ni klia kabisa"
Imekuwaje wahusika wa tangazo hili wakaridhika na lugha iliyotumika kwenye hayo maneno niliyobold? Lipo neno la kiswahili sanifu linaloweza kutumika kuelezea dhana iliyomo kwenye neno nililobold.
Sklachi ni matamshi mabovu ya neno la kiingereza 'scratch'. Kiswahili fasaha ni 'kukwaruza'
Huyo mtangazaji (ni mhusika pia kwenye komedi ya futuhi) alitakiwa aseme: "hicho king'amuzi hakikwaruzikwaruzi.
Angesema hivyo ningejisikia vizuri sana.