Mr Confidential
JF-Expert Member
- Jul 1, 2018
- 1,532
- 2,415
Uongozi wa Chama wa wanaume wasiooa Tanzania unawatangazia kuwa kutakua na kikao cha dharura kesho saa 10:00 am.
Ajenda kuu ni kujadili jinsi gani tutaweza kuepuka Upepo mkali wa kisulisuli ambao umetumwa toka mlima wa moto ambao unatutaka tuoe wakati bado hatujajipanga.
Wanachama wote mnatakiwa kufika bila kukosa.
Imetolewa na Katibu
Mr Confidential
Ajenda kuu ni kujadili jinsi gani tutaweza kuepuka Upepo mkali wa kisulisuli ambao umetumwa toka mlima wa moto ambao unatutaka tuoe wakati bado hatujajipanga.
Wanachama wote mnatakiwa kufika bila kukosa.
Imetolewa na Katibu
Mr Confidential