Mr. Marangu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2013
- 1,574
- 1,549
- Thread starter
-
- #21
Hii ndio list ya mabaharia? Asee kazi ipoJumuiya ya Mabaharia kwa Kushiriana na jumuiya changa ya Maharia wanakuletea Kufuli Maridhawa za Kufunga PM
Kujipatia kufuli fika kwenye Ofisi za Mabaharia, ama muone Baharia alie karibu nawe bei ni tsh 7800, waweza lipa kidogokidogo mpaka utakapo maliza
View attachment 1194679View attachment 1194680View attachment 1194681, Aidha Jumuiya ya Mabaharia ina wakumbusha Maharia wote waliozaliwa 1990 mwakani watakua na 30yrs
Cc
Beira Boy
Shunie
yna2
Sakayo
Extrovert
Mother Confessor
General Mangi
Cardiovascular
Hao ni wajumbe na baadhi ya wanachama mabaharia wapo wengi pitia uzi wa jumuiya ya mabaharia kuwafahamuHii ndio list ya mabaharia? Asee kazi ipo
Km hao ni sehemu ya wanachama wa chama cha mababaria inatosha, kazi njemaHao ni wajumbe na baadhi ya wanachama mabaharia wapo wengi pitia uzi wa jumuiya ya mabaharia kuwafahamu
Pia ikumbukwe list hiyo ulioiona imechanganyika ni Wajumbe na viongozi wa MAMAHARIAKm hao ni sehemu ya wanachama wa chama cha mababaria inatosha, kazi njema
Km hao ni sehemu ya wanachama wa chama cha mababaria inatosha, kazi njema
Nawe ni baharia?Hahaha
Hahahaha, safi Sana, nawatakia kila la KheriPia ikumbukwe list hiyo ulioiona imechanganyika ni Wajumbe na viongozi wa MAMAHARIA
Uko sahihi baharia...nyinyi ndo mnaharibu maana halisi ya mabaharia Kwanzaa mabaharia kwenye nyuzi zetu hatuwatags wanawake au hatufungamani nao kabisa wao wanakomenti tu
kufanya hvyo mtafanya nyuzi zetu zionekane ni za kidada wakati huku ni kiumeni we sio baharia
AiseeUko sahihi baharia