Hivi Hii Timu Ndo Yakutuzuia Sisi Watu Walikuwa Wanahaha Kama Simba Na Prisons Ile Juzi Wanapata Goli Dk 85 [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Waambie MzeeWinga Morrison, Winga Kisinda …Kumi Stephane Ki, Mbele King Of The Game “Mayele”, Kati Kati Aucho Na Fei, Kushoto Na Kulia Farid Musa Na Djuma, Nyuma Nazima Mwenyewe MVP Mzee Wa Kazi Chafu Na Mwng Wa Nguvu International Defender Dickson Kazi Af Golini Mdaka Mishale Diarra…..HIVI TUNATOLEWAJE? TUNATOLEWAJE KWA MFANO? MAMAEE!! [emoji28]
Nabi ndiye kocha kiboko yako. wewe ukiangali ytaalam alifanya Nabi kulifungua goli la Zalan na kuwawatawanya mabeki mpaka magoli ya kipindi cha pili kupatikana matano usiogope lolote amigo. tofauti ya Yanga na Esparence kwa makali ni moja tuu yanga wanapiga tano esparence hupiga tatu baaasi. yanga tishio africa 2022!Yeyote anaye jua uchawi naomba tukutane turoge hawa al hilal wafe goli nyingi apa kwa mkapa bila ivo kitatukuta kilicho wakuta wenzetu st- George kule kwao
Toka ni zaliwe sijawahi kuona timu ambayo inalazimisha matokeo kama hawa majama au ikiwezekana kabisa kwa jinsi wanavyo cheza hawa majama tusicheze short pass tuwachezee long pass tukipata tuna peleka kule kwa akina kisinda na Mayele
Maana wana speed kitawafanya wawe na uoga wa kupata kama walivyo kuwa wana panga leo
Kwahiyo una maanisha Yanga ni timu kali kuliko st George? Maana ilitakiwa Al Hilal waanzie kwa St George kufanya hivyo maana ndio iliyowaonesha wako dalili mbaya toka first leg kwa kutanguliwa na goal mbili bila. Tusiishi kwa kukaririMimi naongelea ya yanga wewe unaongelea leo.
Al hilal akicheza na timu kali huwa mechi anaweka juaniii.. mwaka huu A Hilal amecheza hatua ya makundi caf champions league.. mechi zake za nyumbani alikuwa anaziweka juani tupu..
Kiukweli mashabiki wengi wa yanga mna uwezo mdogo sana wa kufikiri