Tangazo kwa wanaudsm wote kuhusiana na tarehe rasmi ya suplimentary.

Sasa mkuu asante sana maana nina vimeo vitatu pale engineering, na tangazo liko wapi? maana nimecheki website hamna kitu

We nawe. Mara Physics teacher mara Engeneer. Tukuweke wapi?
 
cHa ajAbu nini kweNye sup 3???

SUP 3 ni nyingi sana;kisingizo kuwa COET ni ngumu so SUP hata zaidi ya 3 eti ni jambo kawaida halina msingi wowote maana kuna vijana wengi tu wamepitia hapo na HAWAKUWA na SUP hata moja hadi wanamaliza!

So kama kuna watu wanaondoka COET hawana SUP why not you?Msingi wa argument yangu unajikita hapo!
 
Suplimentary ratiba ni moja kwa campus zote duce, muce na main campus. Disco za duce sijapata taarifa labda uwasiliane na viongozi wa duce.
 
njoo na wewe usome hapa unakaribishwa sana mkuuu watakuchukua na hautapigwa supp
 
Hv kaka mtu aliesoma BENG (Bachelor of Engineering) kwenye vyuo kam st. joseph, DIT, au MUST akiapply kusoma masters kwenye vyuo kama MIT Anaweza akapata?
 
Kuna vijana wengi tu wamesoma COET wanamaliza bila SUP hata moja,why not him/her?
swali ni wamefanya kitu gani cha ajabu mkuu? hao wasio na supp hata moja? impact kwa jamii?, wana-patents, innovations, au chochote te tu au ni makaratasi tu ya chuo...?
 
Kama hukupata SAPU Ni wewe,Hata vidole havilingani bana
 
Na ndo mana Sap ikawepo toka enzi,usijifanye we brain,ulibahatika ukapata makarai ukachomoka afu unaleta nyodo
 
Sasa nafanya kazi;kusoma nilisoma zamani hapo!
Kama hukusoma water resourses, structural au electrical njoo ujiunge na mojawapo ya hizo ,sio mbaya ukawa na degree tofauti tofauti kama Luhanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…