Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Maombi ya nafasi za kazi kada ya Afya na Elimu yameanza kupokelewa na TAMISEMI lakini kuna mkanganyiko ambao nimeuona kwa watu wenye ulemavu. Kwa namna ya kuomba.
1. Japo maombi yanapashwa kupitia kiunga cha ajira.tamisemi.go.tz maombi kwa watu wenye ulemavu yametakiwa kutumwa kwa 'nakala ngumu'(Hard copy) Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu
2. Agizo linalofuata ni kuwa maombi kwa njia ya posta na yatakayopelekwa kwa mkono hayatazingatiwa, hali ambayo inaweza kuleta shida zifuatazo.
Je, watu wenye ulemavu watume Ofisi ya Rais TAMISEMI mtandaoni tu?
Watume kwa Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu tu (Kwa hard copy) njia ya posta.
Au watume kwa Katibu Mkuu kwa Hard copy na kutuma maombi Ofisi ya Rais TAMISEMI.
Niwatakie kila la kheri wanaoomba nafasi za kazi zilizotangazwa, ni matumaini yangu TAMISEMI watakuja na ufafanuzi wa hili jambo
1. Japo maombi yanapashwa kupitia kiunga cha ajira.tamisemi.go.tz maombi kwa watu wenye ulemavu yametakiwa kutumwa kwa 'nakala ngumu'(Hard copy) Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu
2. Agizo linalofuata ni kuwa maombi kwa njia ya posta na yatakayopelekwa kwa mkono hayatazingatiwa, hali ambayo inaweza kuleta shida zifuatazo.
Je, watu wenye ulemavu watume Ofisi ya Rais TAMISEMI mtandaoni tu?
Watume kwa Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu tu (Kwa hard copy) njia ya posta.
Au watume kwa Katibu Mkuu kwa Hard copy na kutuma maombi Ofisi ya Rais TAMISEMI.
Niwatakie kila la kheri wanaoomba nafasi za kazi zilizotangazwa, ni matumaini yangu TAMISEMI watakuja na ufafanuzi wa hili jambo