Tangazo la Azam Dabi ya Kariakoo halina mvuto

Ka.a hauvutii,UVUTE mkuu
 
KUIBUKA KWA KWA DINI MPYA YA SIMBA NA YANGA.

Tumeisha waambia Hizo timu kuzishobokea sana kupita kiasi tatizo.

Kila muda simba yanga.
Muda wote mnawaza simba na yanga, hilo ni tatizo na ni kaugonjwa fulani hivi.

Simba na Yanga zimekuwa Dini Tanzania kutwa kucha ni kuziabudu tu.

Mnachezewa Danganya Toto na Goverment maana hivyo ni vyombo vyao vya propaganda.

MWENYE MASIKIO NA ASIKIE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…