Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hilo tangazo hata kama kungekua hakuna mgogoro wa kati ya Dr mwaka na serikali, hicho kipande kisingeonekana kwenye TV yoyote ungeonekana wimbo kama wimbo tu.
Lile ni tangazo liliwekwa kwa ajili ya YouTube tu, angalia mfano wimbo wa Sheta shikolobo kuna tangazo la vodacom mziiki angalia kama lilishawahi kuonekana kwenye TV yoyote wakati wimbo unapigwa na sio diamond aliyeanzisha inshu ya kuweka matangazo kwenye wimbo, hiyo ni inshu ya kawaida kabisa kwenye masuala ya advertisements.
Hongera Mondi kwa kuchangamkia fulsa
Hivi kwanin hadi leo hii nyimbo mond hajaiachia kwenye tv na radio?
Sijajua ni nini mkuu labda mipango yake tu
Ameshatolea ufafanuzi tayari instagram amesema kuanzia jumatatu itakuwa hewani kwenye radio na tv
Duh! Hivyo enh! Unajua mie haya mambo ya tv nilishasahau! Inabidi afanye fasta kwa ajili ya non-digital population! Na vile ilivyo emiotional, atakamata kila kona.Hivi kwanin hadi leo hii nyimbo mond hajaiachia kwenye tv na radio?
Asante mchiwang'ambaku kwa ufafanuzi mzuri sana.
Sijajua ni nini mkuu labda mipango yake tu
Hivi kwanin hadi leo hii nyimbo mond hajaiachia kwenye tv na radio?
Mimi nimeiona juzi kwenye tv channel 10 au itv sikumbuki vzr.
Hivi kwanin hadi leo hii nyimbo mond hajaiachia kwenye tv na radio?
Nimependa hiyo kwa redJumatatu mZigo una drop kwny tv na radio stasheni zote duniani