Tangazo la Hija mwaka 2024 kwa wakatoliki. Gharama ni Tsh Milioni 7.

KAWETELE

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2015
Posts
700
Reaction score
1,674
Kama Tangazo linavyo jieleza..
Shime wakatoliki Tujitikeze kwa wingi kama mahujaji ..

Tukiwa tume toka kuupiga mwingi kwa kuchangia Mavuno kwa zaidi ya Tsh Bilion 4.. sasa tujipige mifukoni kwa zaidi ya milion 7 kila mmoja


Tuka msikilize Baba Mtakatifu.
Tukaone masalia matakatifu.
Tukaone historia ya kanisa letu
Tuka safiri nje ya nchi.
Tukaone ma basilika ya kinhistoria
Tuka jichotee baraka

"Hii ndiyo imani Yetu.. Hii ndiyo imani ya kanisa letu. Ambayo sisi tuna ona fahari kui ungama"
 

Joni yale mambo yetu 🔥🔥
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…