Tangazo la kazi ya Afisa mauzo na mapokezi

Tangazo la kazi ya Afisa mauzo na mapokezi

Manala An Academician

Senior Member
Joined
Oct 10, 2016
Posts
119
Reaction score
57
- Essence Driving Schools

Afisa masoko (01) na afisa huduma kwa- wateja (01) shule ya udereva anahitajika
Sifa
1. Uwezo wa kuongea/ushawishi vizuri sana na wateja
2. Uwezo wakufanya kazi yenye matokeo
3. Uelewa zaidi katika kutafuta wateja kwa- njia ya mitandao ya kijamii
4. Muonekano unaoendana na nafasi ya kazi
5. Utayari wakuingia kazini kuanzia saa 12:30 asubuhi hadi saa 12:00 jioni kwa- kila siku isipokuwa jumapili au kutokana na sababu zingine anaweza kulazimika kufika siku ya jumapili pia

Mahali pa kazi kitakuwa ni Goba/Mabibo/Tegeta au sehemu yeyote ndani ya Dar Es Salaam kadri itakavofaa

Mshahara
Itakuwa ni TZS 300,000 kama malengo yatafikiwa

utapata bonasi ya hadi TZS 15,000/- kwa- wiki kama lengo la wiki litavuka

Utakatwa TZS 10,000/- kwa- wiki kama lengo halitofikiwa

Kiwango cha Elimu
Kuanzia kidato cha nne, hata hivo wenye uwezo wa kuongea na kushawishi ndo watapewa kipaumbele

NB: Wenye sifa hapo juu watume CV zao kupitia email: manager@flydream.co.tz na kwa- WhatsApp namba 0765374146

Mwisho wa kutuma maombi ni Jumatano tarehe 12/10/2022
 
- Essence Driving Schools

Afisa masoko shule ya udereva anahitajika
Sifa
1. Uwezo wa kuongea/ushawishi vizuri sana na wateja
2. Uwezo wakufanya kazi yenye matokeo
3. Uelewa zaidi katika kutafuta wateja kwa- njia ya mitandao ya kijamii
4. Muonekano unaoendana na nafasi ya kazi
5. Utayari wakuingia kazini kuanzia saa 12:30 asubuhi hadi saa 12:00 jioni kwa- kila siku isipokuwa jumapili au kutokana na sababu zingine anaweza kulazimika kufika siku ya jumapili pia

Mahali pa kazi kitakuwa ni Goba au sehemu yeyote ndani ya Dar Es Salaam kadri itakavofaa

Mshahara
Itakuwa ni TZS 300,000 kama malengo yatafikiwa

utapata bonasi ya hadi TZS 15,000/- kwa- wiki kama lengo la wiki litavuka

Utakatwa TZS 10,000/- kwa- wiki kama lengo halitofikiwa

Kiwango cha Elimu
Kuanzia kidato cha nne, hata hivo wenye uwezo wa kuongea na kushawishi ndo watapewa kipaumbele

NB: Wenye sifa hapo juu watume CV zao kupitia email: manager@flydream.co.tz na kwa- WhatsApp namba 0765374146

Mwisho wa kutuma maombi ni Alhamis tarehe 17/08/2022
Mapokezi atakaa huyo huyo au mm ndo sijaelewa kama nafas hiz ni ngapi
 
NYIE NISHAONGEA SANA KWAMBA HUYU MTU NI TAPELI KAZI IPO NDIYO LAKINI HAKUNA MKATABA WA KAZI NA KWENYE MALIPO NI MBABABISHAJI ANA KESI KIBAO ZIPO SERIKALINI MSIPOTEZE MDA

Umewahi kufanya naye kazi? Mimi nafikiri huyu ni mjasiriamali ambaye hana skills za kijasiriamali na ambaye pia hajiamini.

Unapokuwa na sifa hizo usithubutu kuajiri mtu mpaka kwanza uweze kujiamini na kuiamini biashara yako.Period.

Mtu anapofanya kazi kwako lazima alipwe regardless of weather ametengeneza pesa au la.

Pili lazimautafute mtu mwenye skills za kazi unayotaka afanye.

Tatu kama unataka asipozalisha usimlipe basi huyo lazima awe ama ni trainee/aprentice au partner.Pembeni ya hapo ni ubabaishaji.
 
Nishafanya nae kazi yaan Ni mbabaishaji Sana ndio maana Kila siku anatangaza kuajiri Watu kwa sababu ana ajiri Watu halafu mfano mtu wa afisa masoko atakwambia utangaze viwanja vya Buyuni sijui mwongozo huko vibovu wateja hamna mwisho wa mwezi atakwambia hakulipi hujauza na huna mkataba nae mwisho mtabishana anakufukuza anakuja huku jamii forum kutafuta mwingine
 
Nishafanya nae kazi yaan Ni mbabaishaji Sana ndio maana Kila siku anatangaza kuajiri Watu kwa sababu ana ajiri Watu halafu mfano mtu wa afisa masoko atakwambia utangaze viwanja vya Buyuni sijui mwongozo huko vibovu wateja hamna mwisho wa mwezi atakwambia hakulipi hujauza na huna mkataba nae mwisho mtabishana anakufukuza anakuja huku jamii forum kutafuta mwingine
Kwanini unamuita mbabaishaji? Kama lengo lakukutafuta ni kumsaidia mauzo naye hajauza , atakulipa mshahara utatoka wapi?
Wewe unashindwa kumshauli / kuboresha mawazo yake?

Kaa nae muulize Marengo ya mwezi , mshauli asitumie mfumo wa malipo ya mwezi, Alipe kwa kilicho zalishwa kama ni mwanafunzi mmoja ukimleta upewe chako usepe. Kiwanja ukiuza mmalizane. Mbona madarali hawajasomea uafisa masoko lakini wanachamja mbuga.
 
- Essence Driving Schools

Afisa masoko shule ya udereva anahitajika
Sifa
1. Uwezo wa kuongea/ushawishi vizuri sana na wateja
2. Uwezo wakufanya kazi yenye matokeo
3. Uelewa zaidi katika kutafuta wateja kwa- njia ya mitandao ya kijamii
4. Muonekano unaoendana na nafasi ya kazi
5. Utayari wakuingia kazini kuanzia saa 12:30 asubuhi hadi saa 12:00 jioni kwa- kila siku isipokuwa jumapili au kutokana na sababu zingine anaweza kulazimika kufika siku ya jumapili pia

Mahali pa kazi kitakuwa ni Goba au sehemu yeyote ndani ya Dar Es Salaam kadri itakavofaa

Mshahara
Itakuwa ni TZS 300,000 kama malengo yatafikiwa

utapata bonasi ya hadi TZS 15,000/- kwa- wiki kama lengo la wiki litavuka

Utakatwa TZS 10,000/- kwa- wiki kama lengo halitofikiwa

Kiwango cha Elimu
Kuanzia kidato cha nne, hata hivo wenye uwezo wa kuongea na kushawishi ndo watapewa kipaumbele

NB: Wenye sifa hapo juu watume CV zao kupitia email: manager@flydream.co.tz na kwa- WhatsApp namba 0765374146

Mwisho wa kutuma maombi ni Alhamis tarehe 17/08/2022
Swali:-
Je kazi ya marketing ni kazi ya kipaji au ni kazi ya taaluma?
 
Kwanini unamuita mbabaishaji? Kama lengo lakukutafuta ni kumsaidia mauzo naye hajauza , atakulipa mshahara utatoka wapi?
Wewe unashindwa kumshauli / kuboresha mawazo yake?

Kaa nae muulize Marengo ya mwezi , mshauli asitumie mfumo wa malipo ya mwezi, Alipe kwa kilicho zalishwa kama ni mwanafunzi mmoja ukimleta upewe chako usepe. Kiwanja ukiuza mmalizane. Mbona madarali hawajasomea uafisa masoko lakini wanachamja mbuga.
Nadhani hujaelewa Mimi nilifanya kazi ya graphic designer kwakwe Wala siyo mauzo ndio maana nakwambia Ni mbabaishaji Wala usimtetee Sababu Mimi naongea Kama mhanga wewe unabisha hujui Ila Mimi Najua hata kwenye afisa masoko nako ni ubabaishaji tu jamaa huyo hamna kitu
 
Back
Top Bottom