Wana JF kuna lile tangazo la kondom la salama mi naona linahamasisha ngono kwa jinsi msichana anavyowaza ngono na kujiandaa kwa shughuli hiyo,isitoshe binti mwenyewe mrembo! TACAIDS mpo wapi? muwe regulators wa haya matangazo its too shame hasa ukiwa na watu unaowaheshimu i.e baba,mama, watoto.