Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wadau kuna member humu huwa na michango sana na hufanya jukwaa kuwa zuri sometimes au baya sometimes ila kuna hali fulani ya kusahaulika mapema mno je mada zao wanazochangia zinawafanya wawe maarufu zaidi kwa kutajwa tajwa kuwaquoted n.k ila akipotea like mwezi mmoja hivi ana sahaulika kabisa, na akirejea watu hustushwa kabisa...kana kwamba ni mgeni
Mfano: Nyamayao ,
King'asti maudhurio yake si mazuri tena ,
Kongosho , haeleweki
Rejao , Siasa zilimshinda karejea kijijini
zombe , nadhani kastaafishwa kazi
Superman mzee wa Siri za Familia huyu nadhani majukumu yamembana
Le Mutuz ,
NasDaz Mzee wa Darhotwire ,
figganigga mzee wa mia
Rutashubanyuma huyu nafasi yake imechukuliwa na Ruttashobolwa
MaxShimba au ndo kazama jukwaa la dini
Kiranga nadhani aliaga na keshasahaulika tayari ,
Kuna Malaria Sugu huyu alijiapiaza kutorejea tena jf japo nae alipigwa lifeban
Lizee Mwanakijiji tokea alivyoanza kuwa na mawazo ya kizee ya ajabu watu wanampotezea kabisa..
kuna gfsonwin huyu akija leo basi hadi mwezi uishe
Watu8 huyu sijui tuseme tu rip?
na yule Bishanga ndio kabisa last seen yake ni 2014
Invisible pia sioni michango yake this days sijui nini kimempata - kimsemo chake cha (Ficha Upumbavu wako)
wengine nikiwakumbuka nitawataja
Wachaga December Mkuu wanadilii navisusiooo ukiniona Hulu network I. Ekubalimarangu bahtimbayapdiddy
Hapa kuna mmoja hajulikani kabisa aliko [emoji30] [emoji30]Pascal mayalla na benn saa8.
swissme
Ya zamani ni ipi sasa kati ya hizoNipo sanaa sku hizi natumia Id hii mpya
Na mwenzake Paka Jimmy wa Ngarenaro. Wameadimika sana hawa 'team A Town'Mkuu preta yupo ila anaonekana kwa nadra sana
AaahYa zamani ni ipi sasa kati ya hizo
Acha hizo, we niambie tuAaah
Sasa hapo wasije wakaziunganisha, kuna watu wana nidai humu.
Ila nimefurahi mna nikumbuka [emoji23]
waliunganisha na nyingine ni jina gani naomba unijuze BAKPascall Mayalla tangu waunganishe ID yake hii na ile nyingine uchangiaji wake hapa umekuwa ni finyu sana.
Wadau kuna member humu huwa na michango sana na hufanya jukwaa kuwa zuri sometimes au baya sometimes ila kuna hali fulani ya kusahaulika mapema mno je mada zao wanazochangia zinawafanya wawe maarufu zaidi kwa kutajwa tajwa kuwaquoted n.k ila akipotea like mwezi mmoja hivi ana sahaulika kabisa, na akirejea watu hustushwa kabisa...kana kwamba ni mgeni
Mfano: Nyamayao ,
King'asti maudhurio yake si mazuri tena ,
Kongosho , haeleweki
Rejao , Siasa zilimshinda karejea kijijini
zombe , nadhani kastaafishwa kazi
Superman mzee wa Siri za Familia huyu nadhani majukumu yamembana
Le Mutuz ,
NasDaz Mzee wa Darhotwire ,
figganigga mzee wa mia
Rutashubanyuma huyu nafasi yake imechukuliwa na Ruttashobolwa
MaxShimba au ndo kazama jukwaa la dini
Kiranga nadhani aliaga na keshasahaulika tayari ,
Kuna Malaria Sugu huyu alijiapiaza kutorejea tena jf japo nae alipigwa lifeban
Lizee Mwanakijiji tokea alivyoanza kuwa na mawazo ya kizee ya ajabu watu wanampotezea kabisa..
kuna gfsonwin huyu akija leo basi hadi mwezi uishe
Watu8 huyu sijui tuseme tu rip?
na yule Bishanga ndio kabisa last seen yake ni 2014
Invisible pia sioni michango yake this days sijui nini kimempata - kimsemo chake cha (Ficha Upumbavu wako)
wengine nikiwakumbuka nitawataja
Wadau kuna member humu huwa na michango sana na hufanya jukwaa kuwa zuri sometimes au baya sometimes ila kuna hali fulani ya kusahaulika mapema mno je mada zao wanazochangia zinawafanya wawe maarufu zaidi kwa kutajwa tajwa kuwaquoted n.k ila akipotea like mwezi mmoja hivi ana sahaulika kabisa, na akirejea watu hustushwa kabisa...kana kwamba ni mgeni
Mfano: Nyamayao ,
King'asti maudhurio yake si mazuri tena ,
Kongosho , haeleweki
Rejao , Siasa zilimshinda karejea kijijini
zombe , nadhani kastaafishwa kazi
Superman mzee wa Siri za Familia huyu nadhani majukumu yamembana
Le Mutuz ,
NasDaz Mzee wa Darhotwire ,
figganigga mzee wa mia
Rutashubanyuma huyu nafasi yake imechukuliwa na Ruttashobolwa
MaxShimba au ndo kazama jukwaa la dini
Kiranga nadhani aliaga na keshasahaulika tayari ,
Kuna Malaria Sugu huyu alijiapiaza kutorejea tena jf japo nae alipigwa lifeban
Lizee Mwanakijiji tokea alivyoanza kuwa na mawazo ya kizee ya ajabu watu wanampotezea kabisa..
kuna gfsonwin huyu akija leo basi hadi mwezi uishe
Watu8 huyu sijui tuseme tu rip?
na yule Bishanga ndio kabisa last seen yake ni 2014
Invisible pia sioni michango yake this days sijui nini kimempata - kimsemo chake cha (Ficha Upumbavu wako)
wengine nikiwakumbuka nitawataja
Usajali mam ntakwambia tukiwa sehem private kdgoAcha hizo, we niambie tu