Kitomai
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 1,074
- 308
Seven Estate Agents inatangaza nafasi ya kazi, ofisi meneja.
Sifa za mwombaji.
1.Awe na uwezo wa kuandika na kuongea lugha ya kiswahili na kiingereza kwa ufasaha.
2.Awe anajua kutumia computer.
3.Awe Msichana mwenye umri usiopungua miaka 18 na kuendelea.
Maombi yatumwe kupitia anuani zifuatazo:
1.sanduku la posta 32920, Dar es Salaam.
2.Barua pepe:johnabeli71@yahoo.com
3.022 262 7162 au 0756268287/0784225000/0784307332
4.Mwombaji afike katika ofisi zetu Mbezi Beach-Goig.
Mwisho wa kutuma maombi 25/2/2012.
Sifa za mwombaji.
1.Awe na uwezo wa kuandika na kuongea lugha ya kiswahili na kiingereza kwa ufasaha.
2.Awe anajua kutumia computer.
3.Awe Msichana mwenye umri usiopungua miaka 18 na kuendelea.
Maombi yatumwe kupitia anuani zifuatazo:
1.sanduku la posta 32920, Dar es Salaam.
2.Barua pepe:johnabeli71@yahoo.com
3.022 262 7162 au 0756268287/0784225000/0784307332
4.Mwombaji afike katika ofisi zetu Mbezi Beach-Goig.
Mwisho wa kutuma maombi 25/2/2012.