Tangazo la uchumba

Tangazo la uchumba

Status
Not open for further replies.

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
301,577
Reaction score
754,412
Habarini za usiku huu, naleta tangazo hili usiku huu baada ya majadiliano marefu na mhusika... Anayetafuta mchumba sio mimi bali ni mwanaJF mwenzetu nami nipo hapa kama mwakilishi

Nimejiridhisha mhusika yupo serious... Na anatafuta mchumba wa jinsia ya kike
Umri ni kati ya 24-27
Akiwa mrefu itapendeza zaidi
Awe mkazi wa Mwanza
Awe mwajiriwa au mjasiriamali
Vema akawa wa imani moja kuondoa migongano.. Awe mkatoliki
Ajitambue na kujiheshimu, mnyenyekevu mpole na mcha Mungu
Mengine na mengineyo yatakuwa private.... Aliye tayari tafadhali tuwasiliane PM

Wasifu wa mtafutaji
. mrefu
. maji ya kunde
. miaka 27
. mjasiriamali mmiliki wa kampuni ya ujenzi
ASANTENI
 
mkuu umekuwa dalali ? wenzetu wanaita mtu kati....

any way, ingependeza angefungua uzi mwenyewe kama sio memba humu ungemuelekeza jinsi ya kuingia humu ili aweke uzi.... hapo utapata usumbufu mwingi pm, wengine ni midume inajifanya wadada...
 
Oooh Noooo!! you know I can't do that, the best I can do is clear rejection if there is a need.
Don't allow age to ruin and jeopardize your values Khantwe
Is this one fake? I could have accepted any promise from you whether it's fake or real[emoji13] [emoji13]
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom