BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 4,548
- 11,901
Wakati wenzetu wakiwa na plan za miaka 100 ijayo Bongo tuna plan za wiki 5 zijazo. Nchi ina plani za kisiasa na ziko Surported na wajinga hili Taifa la Tanzania.
Tanzania kuna plan za wiki chache mbele, kila mara ni Bomoa hiki weka hiki, badili hiki weka hiki.
Mfano Chukulia ujenzi wa kituo cha Mabasi cha Ubungo wale wahuni walitarget miaka mingapi mbele? Angakia sasa kituo kisha kufa kimepewa majukumu mapya ambayo hayakuwepo kabisa.
Ile Mbezi kituo cha Mabasi baada ya miaka 7 kuanzia sasa itaonekana ni pafinyu sana,pako mjini sana katikati sana hivyo wanatafuta eneo jipya wahamishe stendi na pale wajenge hata soko la wamachinga, na sisi Wajinga tutashangilia sana mno.
Raisi anatwaaa aridhi Dar kisa ujenzi wa miundo mbinu ya mabasi yaendayo kasi, sasa jiulize Nchi nzima hakuna alie kuwa anawaza kitu kama hchi miaka 30 iliopita?
Tuombe uzima baada ya miaka kadhaa itaonekana tena hizo Barabara za mwendo kasi hazifai watavunja wajenga njia za treni za kuzunguka Dar na pia watatwaa aridhi.
Miji inajengwa kiholela sana, miji imejaaa frame, miji haina maeneeo ya akiba, miji imejaaa majengo tupu, miji ina plan za mwaka mmoja mmoja mbele.
Sijui nani alieawadanganya Watanganyika kwamba miji ni majengo yenye Frame, make miji imejaaa mno Frame hakuna space tena.
Fikiria jiji kama New york Jiji kubwa mno ulimwenguni na lililo asisisiwa miaka ya 1500+ lina hadi misitu au park (The Adirondack Park) njoo Dar kwa Frame economy ambako Nature haihitajiki kinacho hitajika ni Frame.
Tanzania kuna plan za wiki chache mbele, kila mara ni Bomoa hiki weka hiki, badili hiki weka hiki.
Mfano Chukulia ujenzi wa kituo cha Mabasi cha Ubungo wale wahuni walitarget miaka mingapi mbele? Angakia sasa kituo kisha kufa kimepewa majukumu mapya ambayo hayakuwepo kabisa.
Ile Mbezi kituo cha Mabasi baada ya miaka 7 kuanzia sasa itaonekana ni pafinyu sana,pako mjini sana katikati sana hivyo wanatafuta eneo jipya wahamishe stendi na pale wajenge hata soko la wamachinga, na sisi Wajinga tutashangilia sana mno.
Raisi anatwaaa aridhi Dar kisa ujenzi wa miundo mbinu ya mabasi yaendayo kasi, sasa jiulize Nchi nzima hakuna alie kuwa anawaza kitu kama hchi miaka 30 iliopita?
Tuombe uzima baada ya miaka kadhaa itaonekana tena hizo Barabara za mwendo kasi hazifai watavunja wajenga njia za treni za kuzunguka Dar na pia watatwaa aridhi.
Miji inajengwa kiholela sana, miji imejaaa frame, miji haina maeneeo ya akiba, miji imejaaa majengo tupu, miji ina plan za mwaka mmoja mmoja mbele.
Sijui nani alieawadanganya Watanganyika kwamba miji ni majengo yenye Frame, make miji imejaaa mno Frame hakuna space tena.
Fikiria jiji kama New york Jiji kubwa mno ulimwenguni na lililo asisisiwa miaka ya 1500+ lina hadi misitu au park (The Adirondack Park) njoo Dar kwa Frame economy ambako Nature haihitajiki kinacho hitajika ni Frame.