Tangazo labandikwa kutoa onyo kali kwa wanafunzi wa vyuo dodoma kutokuandamana

Tangazo labandikwa kutoa onyo kali kwa wanafunzi wa vyuo dodoma kutokuandamana

nngu007

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2010
Posts
15,860
Reaction score
5,801
578992_10151132556076546_10656380_n.jpg
 

Kwani kuna nini Nov/11/2012?
 
Hili tangazo limetolewa na nani? "ATUA KALI" ndiyo kitu gani? Ningekuwa mimi ni mwanamfunzi wa hivyo vyuo ningelilipuuza tu hili tangazo kwa kuwa linaonekana limeandikwa na sharobalo tu. Na kwa kuwa hakuna tafsiri nzuri ya neno ATUA, basi hakuna haja ya kulihofia hili Tangazo.
 
Hivi makonda anasoma wapi? Huyu jamaa hamalizagi chuo?
 
wadau mbona naliona jina la salumu hapi hapo, ni huyu aliyeshindw umakamu mwenyekiti wa uvccm?
 
Mkiambiwa hicho ni chuo cha kata,mnaanza kuona kama mnaingiliwa kinyume na maumbile katika haki yenu ya kupata elimu,sasa nawatukana live,. CCM NYIE
 
Back
Top Bottom