Hili tangazo limetolewa na nani? "ATUA KALI" ndiyo kitu gani? Ningekuwa mimi ni mwanamfunzi wa hivyo vyuo ningelilipuuza tu hili tangazo kwa kuwa linaonekana limeandikwa na sharobalo tu. Na kwa kuwa hakuna tafsiri nzuri ya neno ATUA, basi hakuna haja ya kulihofia hili Tangazo.