Tangazo Maalum: Kwa Wana JF Tu!

Tangazo Maalum: Kwa Wana JF Tu!

Status
Not open for further replies.
nilifikiri anaongea kitu cha maana, baba yako anatuhusu nini mkuu, hapa tujadili mambo ya kujenga, sio kuwekeana sherehe za uchochoroni huko, ina faida gani hiyo kwa jamii ya kitz hata utushirikishe watu wote sisi? samahani kukujibu hivi, nimeshindwa kujizuia.
 
nilifikiri anaongea kitu cha maana, baba yako anatuhusu nini mkuu, hapa tujadili mambo ya kujenga, sio kuwekeana sherehe za uchochoroni huko, ina faida gani hiyo kwa jamii ya kitz hata utushirikishe watu wote sisi? samahani kukujibu hivi, nimeshindwa kujizuia.

Umeshindwa kujizuia kitu gani tena!!!
 
Tunashukuru sana kwa mwaliko,na tunamtakia Mzee John C Malecela maisha marefu. Kwa ku-predict tu naona vitu bariiiidi havitakuwepo... Kwa hilo nawatakia shughuli njema...na haswa hilo la kukumbuka watoto yatima.
 
- ...... nimepatiwa nafasi 4 tu kwa ajili ya JF tu, kwa sababu wengine wote watakuwa ni wanasiasa tu, kwa hiyo in the way ni nafasi nzito na muhimu sana kwa wanaoelewa......William.

Who AM I to be in that party?? Only 4 members. I think you could have chosen them yourself through PM. I thought 40 members.
 
Malecela,

Usikose kualika na Wanyamwezi maana kama kutakuwa na kubebam mizigo, basi ile mikubwa kabisa tupatie sisi ngosha. Wengine tuko mbali huku Sikonge na kipindi hiki cha mavuno, inabidi tuwahi karanga zinaanza kuota. Na sasa ndiyo kipindi cha kutengeneza kwa wingi Nsansa na Nswalu (Rasta na Lami).

Nakutakieni kazi njema kwenye nyumba ya watoto yatima, na Mgogo wangu aliyefikisha miaka 75 nampa HAPPY BIRTHDAY TO YOU, John of Chilonwa (Mvumi Makulu or Mision?)
 
Japo sitashiriki lakini namtakia afya na maisha marefu zaidi ya hapo. Maana si wengi wetu twaweza fika hapo. Amekula chumvi nyingi. Ila naomba umfikishie ujumbe wangu kwamba namuomba apumzike siasa, kugombea ubunge tena akiwa na miaka 76 atakuwa anatafuta nini? William chukua jimbo hilo.
 
Kadi ya mwaliko itaandikwa jina lipi? Naona JF inapiga hatua. Naona next time RA na maswahiba wake watatupiga bonge la offer kwenda kutesa Kempsky!! Naona pazia litafunguliwa na hapo itakuwa shughuli kweli kweli!

............kwi kwi kwi kwi kwi, mji wa giza, unaona mbali wewe. Safi sana
 
- Ninaomba kutoa ashante kwa mawazo yote yaliyotolewa tayari na shukrani kwa wote kwa ushirkiano mzito niliouona so far katika hii thread, yaani kila mwananchi kutoa mawazo yake huru,

- Ninasema hivi so far nimeshajaza nafasi tano za wana-JF, na bado ninazidi kufungua milango zaidi kwa wengine members wa JF- Makini ambao wangependa kushiriki nasi.

Na pia ninawaomba Mods na Watawala wa JF, popote mtakapoona hii thread inatakiwa kufika mwisho, muendelee tu maana tayari naona wanaotaka kuhudhuria wameshajitokeza tayari, ingawa milango bado iko wazi kwa wengine zaidi maana for JF I will do anything, kama vile kwa taifa langu.

Ahsanteni Wakuu Wote.


William.
 
Mzee William;

Mie kwenye party sitoweza kuhudhuria, kwanza nimechelewa nahisi. Ila nitakutafuta kibinafsi. Nadhani utakuwepo Mjini Dar mpaka Ijumaa wiki hii. Nitakutafuta Ijumaa mkuu.

FP
 
Samahani naomba nitoke nje ya mada kidogo..Kwanza william ahsante kwa kutufikiria wanajf katika hii high profile event! Swali langu ni juu ya issue ya kuwa anonymous ndani ya JF, JE Ndo itakwisha? I personaly am not up for jamiiforums members goin public..elections are around the corner, tusije shangaa magazeti yanaandika jamiiforums na ccm, chadema, cuf etc etc wajadili maendeleo na mwelekeo wa nchi!
I believe JF has no party but the Tanzania party (if u knw wot i mean). These meetings can open floodgates and send mixed messages in my view. But thanks once again.

All in all mpe pongezi mzee malecela kufikisha 75, im praying wazee wangu watafika hiyo age, its a great achievement kwenye nchi kama tanzania.
 
... maana for JF I will do anything, kama vile kwa taifa langu.

Mmhhh, sijaelewa hapo, maana wengine tulipenda hisabati tukachukia kiwingereza. Nilitegemea utasema "I will do something". Angekuwepo Pundit angetuwekea hiyo sawasawa !!!
 
Mmhhh, sijaelewa hapo, maana wengine tulipenda hisabati tukachukia kiwingereza. Nilitegemea utasema "I will do something". Angekuwepo Pundit angetuwekea hiyo sawasawa !!!
Hivi huyo jamaa kakimbilia wapi?
 
Mzee William;

Mie kwenye party sitoweza kuhudhuria, kwanza nimechelewa nahisi. Ila nitakutafuta kibinafsi. Nadhani utakuwepo Mjini Dar mpaka Ijumaa wiki hii. Nitakutafuta Ijumaa mkuu.


FP

- Mkuu wangu hakuna tatizo tuta tafutana na Mungu ajalie tu uzima.

Ahsante.

William.
 
Mmhhh, sijaelewa hapo, maana wengine tulipenda hisabati tukachukia kiwingereza. Nilitegemea utasema "I will do something". Angekuwepo Pundit angetuwekea hiyo sawasawa !!!



- Inaelekea kuna tuliosoma English u-China!, Bwa! ha! ha!

Respect.

FMES
 
nilifikiri anaongea kitu cha maana, baba yako anatuhusu nini mkuu, hapa tujadili mambo ya kujenga, sio kuwekeana sherehe za uchochoroni huko, ina faida gani hiyo kwa jamii ya kitz hata utushirikishe watu wote sisi? samahani kukujibu hivi, nimeshindwa kujizuia.

- yaaani kupita thread zote kuanzia ya siasa na international, mpaka matangazo madogo madogo kwa ajili tu ya kutafuta ishus za kujenga taifa, ishu ya kujenga taifa kwenye matangazo madogo madogo?

- I see sometimes JF huwa tunawazidi Ze-Comedy! Bwa! ha! ha!

FMES!
 
Samahani naomba nitoke nje ya mada kidogo..Kwanza william ahsante kwa kutufikiria wanajf katika hii high profile event! Swali langu ni juu ya issue ya kuwa anonymous ndani ya JF, JE Ndo itakwisha? I personaly am not up for jamiiforums members goin public..elections are around the corner, tusije shangaa magazeti yanaandika jamiiforums na ccm, chadema, cuf etc etc wajadili maendeleo na mwelekeo wa nchi!
I believe JF has no party but the Tanzania party (if u knw wot i mean). These meetings can open floodgates and send mixed messages in my view. But thanks once again.

All in all mpe pongezi mzee malecela kufikisha 75, im praying wazee wangu watafika hiyo age, its a great achievement kwenye nchi kama tanzania.

......mmmmm, You Have A Point There....!
 
JAMANI MIE NIKO TAYARI NAOMBA NIHUSISHWE HUMO. maana niko hapa hapa jirani. namba zangu 0754 089 043
 
Soma hapa,

- Ninapenda kuwaarifu ndugu zangu wote hapa JF, kwamba kwa furaha kubwa sana mimi na ndugu zangu tuko katika matayarisho makubwa sana ya kumfanyia sherehe nzito sana mzazi baba yetu, [/U]

Halafu soma hiki kipande hapo chini kama nilivyokiibua kutoka kwa blog ya Michuzi - MICHUZI

babu-swahili-albums-various-picture406-malecela.jpg


Mmoja wa watoto watatu (wote wa kike) kati ya watano wa mzee Malecela. Wakiume wawili wameshatangulia mbele ya haki.

Halafu tathmini.....
 
Kumbe Malecela hana mtoto wa kiume! wote wametangulia mbinguni. Hivyo huyu aliotoa tangazo hapa ni Family member kumbe!
Hongereni naona party ilifana.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom