Tangazo Maalum: Mradi wa Kazi Majuu!

Status
Not open for further replies.
Huu ni utapeli wakuu....

Gonga hapa utapata barua inayo fanana na hii:
 
Sauti za kibatari ninachangisha nina $ 300....nipe maendeleo!
 
.... some of these issues are not confined to the language used, the very ideas and scope may be the deciding factor here.

And I don't believe in communicating with everyone, so if you don't understand you are probably not meant to understand.

..........!!!!!!!
 
Huu ni uchokozi tu kwa Kamanda huna lolote!

Mzee nimekula mkopo na kuchangisha jamaa huku nikiwin na wao watakuwa wamewin, mzee wa sauti ameikana hii thread hataki kusaidia wapiganaji!
 
Mzee nimekula mkopo na kuchangisha jamaa huku nikiwin na wao watakuwa wamewin, mzee wa sauti ameikana hii thread hataki kusaidia wapiganaji!
tehetehe shem hii ndio watoto wa mujini wanaita changa la macho......sauti za umeme kasepa na mnywamwezi za watu....unaweza kuta keshabadili na jina anakula mingo kwa chaaati....
 
tehetehe shem hii ndio watoto wa mujini wanaita changa la macho......sauti za umeme kasepa na mnywamwezi za watu....unaweza kuta keshabadili na jina anakula mingo kwa chaaati....

Dah,mkuu ulipotea sana aisee,mambo ya Kampeni nini?,ama ndo ulikuwa bize kuzichanga $300 kwa ajili ya mradi wa kazi Majuu...lol
 
tehetehe shem hii ndio watoto wa mujini wanaita changa la macho......sauti za umeme kasepa na mnywamwezi za watu....unaweza kuta keshabadili na jina anakula mingo kwa chaaati....

Shem

Hebu tusaidiane wewe kwa kuwa FMES ni jamaa yako wasiliana naye basi arejeshe hizo $ 300 atauwa bendi namna hiyo!
 
Shem

Hebu tusaidiane wewe kwa kuwa FMES ni jamaa yako wasiliana naye basi arejeshe hizo $ 300 atauwa bendi namna hiyo!

Masa! Humwachii tu mshikaji.......mkubwa kushindwa si lazima ukubali.......just angali sura na matendo mzee......!

Hebu mods msaidieni mkulu hapa kumsitiri na aibu hii.....close this thing! ha!ha!haaaa!
 
Hivi jamaa ndio kapotea kabisa JF?
 
Jamaa kaingia mitini, hii thread haigusi kabisa...anaiogopa kama ukomaa aiseee....ila Masanilo huwa anaifufua hata ikipoza.....!

wajanja wa mujini wanasema" AMESEPA",hii thread imemtia aibu kajifungia ndani.Mtu mzima alitaka kugeuza watu vichwa vya wendawazimu.AKAPIGWA STOOOP.
bwa..ha...ha..ha..ha.
 
Masa! Humwachii tu mshikaji.......mkubwa kushindwa si lazima ukubali.......just angali sura na matendo mzee......!

Hebu mods msaidieni mkulu hapa kumsitiri na aibu hii.....close this thing! ha!ha!haaaa!

mkulu hii thread haiwezi kufungwa ili tuone mwisho wa SAUTI ZA KIBATARI ni aje???Lazima tupunguze makali hapa,kumkoma nyani giladi mchana kweupee.Mzee alidhani akisema nina rafiki wa KIDHUNGU watu watachanga fasta fasta mnyamwezi....waaapi...ngoma nzito hii.
Tunasubiri majibu....FMES lazima atoke ndani tumsikilize kama ana hoja au alikuwa anataka kuganga njaa.
kwikwikwikwikwi....aaaahahhahaaa
 

Mzee kabanwa mbavu, hana pa kuuweka uso.

Alishakoroga mengi bila kushtukiwa basi akajisahau kabisa.
 
-Wakuu heshima mbele sana unajua tuko kwenye kampeni za siasa na uchaguzi, jamaa zangu watatu tayari wako US, toka last week wawili wako Florida na mmoja amekwenda Virginia, bado hawajakamilisha mipango yote kama inavyotakiwa inachukua muda, otherwise nitawajulisha maendeleo yake.

Ninarudi kwenye kampeni.

Respect.

FMEs!
 

Baharia bana.........! kubali yaishe mazeee!
 


Bwa bwa bwa bwa bwa.....hahahahahaha kazi za $ 300......
 
sasa kaka unang'ang'ania kumsaidia mwananchi mwenye shida kwa kutaka kumwibia au kumtapeli na kale kaduchu alikokua nacho? Kwani nini toka mwanzo usiishughulike kimya kimya then ikitiki ndo uje kuwaeleza watu? Au na wewe una 10% yako hapo baada ya kufanikiwa kutuibia vijisent vyetu?

Watu wamekushtukia na siku hizi hata watz wajanja kisehnzi toka enzi za Deci haibiwi mtu. Ujinga ulikua zamani na naimani hakuna hata anayekusumbua huko ila ili kujua wamekushtukia ndo unajidai kuna watu wananisumbua. We kubali yaishe kuwa umefanya mistake, maana jinsi ulivyokomaa utafikiri unauhakika nayo ilhali wenye experience wamekueleza hapa. Hakuna kudanganyika tena TZ
 

Halafu wanaenda kufanya kazi za aina gani mkuu?

Kwa mahesabu ya juu juu kila mmoja hapo isham-cost kama $2,000 , nauli na hiyo ada ya $300 (au nauli wamelipiwa?).

Sasa kwa $6,000 kama hawa jamaa ni wapiga kazi wazuri wangeweza kuanzisha mradi wao mkubwa tu wa mboga mboga, na wakaendesha maisha yo vizuri sana tu.

Badala yake wanawaachia wadhungu na wakorea waje kuchukua ardhi na kufanya hivyo badala yao.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…