Tangazo Maalum: Mradi wa Kazi Majuu!

Tangazo Maalum: Mradi wa Kazi Majuu!

Status
Not open for further replies.
Hapa ni $ 300 hahahahahaha mambo mengine bwana nitaenda jimboni kwake na huu upupu!

So mzee ukisikia anakaribia kulamba jimbo, unaibuka ghafla kaa mshale vile na mradi wa majuu.....ha!ha!ha!ha!ha!ha!ha!aaaaa.......!

FMES: nilikushauri omba kina MBU waifunge hii thread, hakiyanani itakuletea soo.......!
 
Halafu mkuu wa kitengo cha ufundi Shy alipewa tenda ya kufanyia uchokonozi wa hii kitu......naye hajacome back....atoe ushuhuda hapa waki IT.......!
 
Kaka,
Unajua unamwaga mboga? Ila namchizi anajifanya machinou sana......khaah, anaweza sema NL tulichunga naye mbuzi kule Ununio....ha!ha!aaa!

Teh teh teh teh
Anajua kila mtu humu JF! Hivi vita tutaviweza kweli alimvurumusha yule Balatanda kwa kasi ya umeme!
 
- Wakuu wote JF, bila kumbagua yoyote nina rafiki wa kike wa kizungu anayefanya kazi kwenye mradi mmoja ambao ukitimiza msharti yake ambayo sio magumu sana, basi wanakupatia viza ya miaka mitano kwenda nchi moja majuu kufanya kazi, ni kwa professional mbali mbali na hata kwa wasio na professional wanakubalika,

- Ameniambia the goal ni matajiri flani hivi wa kizungu wanajaribu kuwasaidia watu kutoka nchi masikini, sasa naomba kusema hivi hapa JF wanaingia hata mabalozi mengi ya majuu bongo kila siku, kwa hiyo siwezi kuweka yote hapa wazi, lakini sina tatizo kumsaidia yoyote yule mwenye kuhitaji huu msaaada mradi tu msaidiwa awe bongo, na kuna fee ya dola mia tatu, mimi sifanyi lolote zaidi tu ya kuhakikisha kwamba una pass na unataka msaada, ninaku-connect una-deal nao mwenyewe, lakini ni lazima unifahamishe ili nimfahamishe huyu dada, aifuatilie fomu yako.

Tuwasiliane kwenye PM, au mtuwameli@yahoo.com. Mods na Utawala naomba muipe nafasi kidogo hapa ingawa sio pake, ili iwafikie ndugu zangu walalahoi, unajua sisi mabaharia huwa ni watu wa kusaidiana sana kwa sababu tusingefikia hapa tulipo bila kusaidiwa na wengine, na huwa hatusahau tulikotoa au kusahau wengine wenye shida.

Ahsanteni Wakuu.

Field Marshall Es, wazee wa sauti ya umeme!

HUU NI WIZI; matajiri wanataka kusaidia then wanataka dola 300 za nini? kwa nini wasikupe tu; ni mradi huu naujua na watu wengi wamelizwa
 
HUU NI WIZI; matajiri wanataka kusaidia then wanataka dola 300 za nini? kwa nini wasikupe tu; ni mradi huu naujua na watu wengi wamelizwa

- Mkuu uongee na facts with evidence, nani amelizwa humu JF au nje ya hapa na mimi FMES? Mkuu nimeshasaidia watu wangu watatu na ninajaribu kusaidia wengine wawili wako njiani, ni lazima uwe na ma-paper ya ukimbizi ambayo ambayo ni ya mazishi kutoka bongo,

- Nia na madhumuni yangu ni njema kuwasaidia wenye njaa, lakini nikagundua kwamba hapa JF hakuna wenye njaa ndio maana nikabadili zoezi, kwa hiyo hizi kelele za malngo hazinizuii kulala, kama una facts na evidence za niliyemuibia na huu mradi basi ziweke hapa, otherwise nitafute kwa adabu ninaweza kukusaidia vile vile, badala ya kujifanya kujua wakati sio siri kwamba you have no clue ya unachokisema!

Respect.


FMEs!
 
FMES hatuhitaji facts kamanda hapa hili si dili unavyoendelea kukomaa unashusha credibility yako hakuna cha watu uliosaidia wala nini hii scam kuwa mkweli ulipotoka waungwana tutaelewa sasa unapokomaa na issue iko wazi hahahahahah unamdanganya nani mkuu?

Respect
 
FMES hatuhitaji facts kamanda hapa hili si dili unavyoendelea kukomaa unashusha credibility yako hakuna cha watu uliosaidia wala nini hii scam kuwa mkweli ulipotoka waungwana tutaelewa sasa unapokomaa na issue iko wazi hahahahahah unamdanganya nani mkuu?

Respect

- Labda ungetoa ushahidi wa kuthibitisha maneno yako, otherwise bado nina-hold all the facts to the ishu, isipokuwa unaweza kuendelea ku-speculate credibility yangu haiwezi kufanywa anything na speculations, sijamuibia mtu wala sijamdanganya mtu na siwezi kutoa majina ya niliowasaidia sasa unaona ilivyo tough, unaweza sema anything lakini hainisumbui ninalala kama kawa maneno yako hayana facts kama unazo ziweke hapa mkuu ndio utakuwa mshindi otherwise ni kelele za mlango tu na kuzidi kunpa umaarufu wa bure ndani ya JF and I love it!, Bwa! ha! ha! ha!

Respect.


FMEs!
 
FMES wakati mwingine bwana unakomaa bure ile ni scam haihitaji uwe mnajimu kujua ukweli, hizo za watu uliwasaidia hakuna ukweli na wewe unajua...kama unataka kuwa mwanasiasa achana na uongo maandishi yako yatasimama siku moja!

Alamsiki
 
FMES wakati mwingine bwana unakomaa bure ile ni scam haihitaji uwe mnajimu kujua ukweli, hizo za watu uliwasaidia hakuna ukweli na wewe unajua...kama unataka kuwa mwanasiasa achana na uongo maandishi yako yatasimama siku moja!

Alamsiki

- Bwa! ha! wapi facts na evidence ya ku-support maneno yako mkuu, mbona tunaandikia mate na wino, Masa siku hizi huwa tunaongea na facts mkuu sio maneno maneno kama zamani,

- weka facts za madai yako kama huna uchune tu mkuu msiwe mnarukia treni kwa mbele, Bwa! ha! ha! ha! hivyo vitisho vya kuingia kwenye siasa nimevisikia sana lakini ni lazima uwe na facts na evidence, sasa kubali kuwa huna!

- Ukiweza nitafute pembeni kwa adabu ninaweza kukusaidia, otherwise wasalimie na siku wewe na wenzako mkipata facts za mnadai yenu nifahamishe nitarudi tena hapa, maana huwa mnalia sana huko kwenye thread zingine nikija hapa mnaanza maneno bila facts, please tafuta facts ndio mniite tena for now I am out mpaka mtakapopata facts nifahamishe, tena unajua ni kwa sababu ninakuheshimu ndio maana hata ninakuja huku kukujibu! kumbuka uongo huthibitishwa na ukweli sio filimbi na ngonjera!

Later and Respect!


Field Marshall Es!
 
ni lazima uwe na ma-paper ya ukimbizi ambayo ambayo ni ya mazishi kutoka bongo

😕😡........heheeee

....ilianzia kuwa na US$300....now lazima uthibitishe kuwa we mkimbizi......! kazi ipo

Baharia .....on serious note omba mods wafunge hii kitu...inakuabisha mkuu, halafu wewe unawajibika kuthibisha hapa kuwa hii story yako sio SCAM vinginevyo, ukisoma posts za huko mwanzoni watu wamekuwekea links, same same emails zenye details kama zako hapo juu.....halafu unasema unasaidia, unasaidia vipi wakati unataka chapaa US$300 is not joke ma friend ....ukipata jamaa 1000 tu kny hiyo dili.....we unausepa umaskini!

Bro .....hii ni SCAM achana nayo...inakuhabia mbaya!
 
MODs Kwa heshima ya FMES alipotoka kidogo hapa na SCAM mail, tunaomba uufunge huu mjadala hauna tija kwa taifa letu!

Asanteni
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom