Tangazo Maalum: Mradi wa Kazi Majuu!

Status
Not open for further replies.
MODs Kwa heshima ya FMES alipotoka kidogo hapa na SCAM mail, tunaomba uufunge huu mjadala hauna tija kwa taifa letu!

Asanteni

Baharia bana? Kubali yaishe tu bana........! wewe kama ungetaka kusaidia watu, ungewaunganisha free of charge then baadaye wakisha settle mnakubaliana wakulipe au wawalipe hao jamaa zako hayo mapene.......! vinginevyo ni scam tu......MODS please do the needful close this thing off!
 
Kazi za majuu anyone for a ride?


....he!he!he!he!he! mseee umeenda kuiamsha tena? ha!ha!ha!ha!....mzee mbona alishakubali yaishe.....unamharibia motion....yupo jimboni na ''MWEZI WA KWANZA'' kule kwa Sherukindo...ha!ha!ha!
 
....he!he!he!he!he! mseee umeenda kuiamsha tena? ha!ha!ha!ha!....mzee mbona alishakubali yaishe.....unamharibia motion....yupo jimboni na ''MWEZI WA KWANZA'' kule kwa Sherukindo...ha!ha!ha!

HAhahahaha hii dawa yake lazima awaombe akina invisible waitoe vinginevyo tutakuwa tunaruka nayo hadi Oct 2010. hahahahah
 
HAhahahaha hii dawa yake lazima awaombe akina invisible waitoe vinginevyo tutakuwa tunaruka nayo hadi Oct 2010. hahahahah

......Jamaa tatizo lake anajifanya pasua kichwa sana....hataki kukiri udhaifu! ni kama ''Estonia'' mzee wa Fuso .....kwi!kwikwikwiwiwii......!bwaha!ha!ha!ha!
 
......Jamaa tatizo lake anajifanya pasua kichwa sana....hataki kukiri udhaifu! ni kama ''Estonia'' mzee wa Fuso .....kwi!kwikwikwiwiwii......!bwaha!ha!ha!ha!

Nadhani FMES ifike wakati akubali kabisa kuwa hili lilikuwa dili lake shida Great Thinkers wakamshitukia.....Mzee wa Afghanstan aka Estonia na FUSO lake amejuta kuijua JF!
 
Nadhani FMES ifike wakati akubali kabisa kuwa hili lilikuwa dili lake shida Great Thinkers wakamshitukia.....Mzee wa Afghanstan aka Estonia na FUSO lake amejuta kuijua JF!

....upedejeee kazi mzee wa kyela.........!
!!!
 
Nilikuwa sijaiona hii! Hii haihitaji kuwa na Degree ya IT kujua kwamba ni Internet Fraud, ziko kibao kwenye yahoo inbox yangu mkitaka niwapestie hapa ili anayetaka achangamkie Dili LoL!
 
Nilikuwa sijaiona hii! Hii haihitaji kuwa na Degree ya IT kujua kwamba ni Internet Fraud, ziko kibao kwenye yahoo inbox yangu mkitaka niwapestie hapa ili anayetaka achangamkie Dili LoL!

NYU unaharibu dili la FMES, ana jamaa zake watatu wamefanikiwa na sasa wako majuu, kwa msaada wake!
 
NYU unaharibu dili la FMES, ana jamaa zake watatu wamefanikiwa na sasa wako majuu, kwa msaada wake!

Not Under the Sun Masa, mimi mbona hizi scam ninazo kibao kwa yahoo yangu, same content but from different people
 
Mkuu Masa

Tuwekee chache hapa! Unachezea bahati NYU

As you requested, Mchuzi mwingine kiulaiiiini kabisa if you are interested wasiliana na Jamaa wala haihita USD 300

 
Nyingine hii hapa


Mimi nawapa full contact mkitaka mcheki nao wenyewe na wala siuhitaji u middle man
 
Masanilo usije ukasema NyU anakula kilani mwenyewe, mimi nawawekea malinki ya Mibuzi ya Kizungu Muichune wenyewe LoL!

 
FMES
imekuaje shekhe hii dili ya kazi?
mbona wengi wanaipigia kelele? je ina mushkeli wowote? na kwa mfano ikitokea mtu akapigwa changa la macho atakuona wapi umrudishie pesa yake?

Kama mtoa deal atakubali masharti yangu kwamba nikipata hiyo kazi nikatwe ktk mshahara wangu nitatuma cv na application. Ila swali gumu kwangu ni kwamba, professional zetu wengine hatujawahi kuona zikitangazwa ktk soko la ajira (mimi ni msanii)
 
NYU nimecheka sana naona ilipitia moja kwa FMES akamua atumie kama mtaji wa mambo yake! Loooooh duniani wajinga ndiyo waliwao.
Msanii wasiliana na yule waziri Mkuu aliyejiuzulu nasikia anashahada ya Usanii
 
Wow!
Mbona mzee 'mwenye jimbo' hajatangaza kustaafu!
.

Nasikia TRECTA amekuwa akipita nyumba hadi nyumba kule MTERA.Anawambia wananchi kuwa yeye na son wake ni kitu kimoja kwa hiyo mzee wa Mt. Vernon, New York Atashuka mwaka huu kuendeleza kile alichokiacha TRECTA.
 
.

Nasikia TRECTA amekuwa akipita nyumba hadi nyumba kule MTERA.Anawambia wananchi kuwa yeye na son wake ni kitu kimoja kwa hiyo mzee wa Mt. Vernon, New York Atashuka mwaka huu kuendeleza kile alichokiacha TRECTA.
du kwa hiyo william ndo mrithi,kazi kweli kweli.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…