[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hebu fanya uje hapa Gold Crest (maana ni katikati ya mji) tuongelee hili suala alilofanyiewa mwanaMwanza mwenzetu.Mjumbe kile kikao chetu cha wana mwanza tunasikitishwa sana na swala hili
Mjumbe hatukushirikisha hili swala hata angalau angeomba ushauri
Mwanza inaheshimika jiji la maraha Tanzania na lenye wanawake warembo iweje hadhi yetu ishushwe kirahisi hivi
Hatuwezi kukubali adhabu kali ichukuliwe
Kwa niaba ya wafunga pm nasema tumesikitishwa sana na 7800, hivyo pm zetu zitafungwa mpaka kikao cha maamuzi kitakapofikia makubaliano!!
Yaelekea cutelove bado ni mtoto sana, hahahahah, angetuona magumegume tumpe triki. hahahahaahah.Mjumbe kile kikao chetu cha wana mwanza tunasikitishwa sana na swala hili
Mjumbe hatukushirikisha hili swala hata angalau angeomba ushauri
Mwanza inaheshimika jiji la maraha Tanzania na lenye wanawake warembo iweje hadhi yetu ishushwe kirahisi hivi
Hatuwezi kukubali adhabu kali ichukuliwe
Mjumbe kile kikao chetu cha wana mwanza tunasikitishwa sana na swala hili
Mjumbe hatukushirikisha hili swala hata angalau angeomba ushauri
Mwanza inaheshimika jiji la maraha Tanzania na lenye wanawake warembo iweje hadhi yetu ishushwe kirahisi hivi
Hatuwezi kukubali adhabu kali ichukuliwe
Yaelekea cutelove bado ni mtoto sana, hahahahah, angetuona magumegume tumpe triki. hahahahaahah.
Kwanza alitakiwa aivute hiyo njema ije Mwanza sio yeye amfuate. hahahahahaha. Au kama vipi wakutane Dodoma
Hebu fanya uje hapa Gold Crest (maana ni katikati ya mji) tuongelee hili suala alilofanyiewa mwanaMwanza mwenzetu.
Naungana na Sakayo, tupinge 7,800/= kwa vitendo. hahahahaha
Ndiyo kusemajoanah umeamua kuvunja agano letu ?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Waambie wasijisumbue kabisa manake tayari maji ya gundu kashanichukua,na bibi yangu Sky Eclat analijua hili japo babu Asprin hakufurahishwa sana na suala la 7800
Vipi tena jamani[emoji30]
Vipi tena jamani
Na uzembe wa kutokutofautisha mlio wa simu na alam ya saa kumi na mojaMjumbe kile kikao chetu cha wana mwanza tunasikitishwa sana na swala hili
Mjumbe hatukushirikisha hili swala hata angalau angeomba ushauri
Mwanza inaheshimika jiji la maraha Tanzania na lenye wanawake warembo iweje hadhi yetu ishushwe kirahisi hivi
Hatuwezi kukubali adhabu kali ichukuliwe
Tuipinge kwa vitendo 7800Nakazia hoja
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kwa niaba ya wafunga pm nasema tumesikitishwa sana na 7800, hivyo pm zetu zitafungwa mpaka kikao cha maamuzi kitakapofikia makubaliano!!
Mpaka kikao kifikie makubalianoBado kumefungwa kule
Kote kumefungwa ndugu mjumbe![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huwa unanifurahisha na comment zako wenye busara tele.
Ila Leo umenichekesha sana. Shunie Pia amefunga??
Kwa hiyo wajumbe wa jinsia ya kiume tujichange kuhakikisha nauli ya mwanza inapatikana ili angalau mfikirie kufungua piyemu??Hakika
Na kuhakikisha mwanachama anapewa nauli atoke kwa anko wake