Tangazo muhimu kwa wanachama wa Chit-chat.

Tangazo muhimu kwa wanachama wa Chit-chat.

Ndugu wajumbe. .kutokana na idadi ya wanachama wengi wanaochomoa betri kuongeza. .sisi wajumbe wengine ambao bado hatuja kumbana na hiyo kadhia

Tumeamua kuwa wapenzi watazamaji kwanza. .Mpaka pale Ambapo tutakuwa tumejidhihirishia kwamba Upepo wa kuchomoa ma-betri umetulia. ....


Naomba niwe muwazi hapa. .hakuna thread iliyo nitia hofu kama ile ya yule mjumbe aliye sema kwamba mpenzi wake alikuwa ana muomba ushauri 'kwamba akubali kuchukua mkoba wa uganga toka kwa babu yake au la? .... Awali nilikuwa sijui kwamba hapa Jf Kuna wajumbe wengine ni manyau nyau

Kwako @zeshcriss
Kwa ruhusa ya mwenyekiti naomba kuchomeka hapohapo.... Kuwa suala la picha limekuwa suala mtambuka na serikali ya awamu inalifuatilia kwa ukaribu ili kuweza kuleta maendeleo endelevu kwa watanzania wanyonge wanaoteswa na mabeberu ya picha hapa Jf....narudisha kipaza sauti meza kuu.....waweze kuendelea mwenyekiti
 
Kwa niaba ya wafunga pm nasema tumesikitishwa sana na 7800, hivyo pm zetu zitafungwa mpaka kikao cha maamuzi kitakapofikia makubaliano!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Safi kabisa
 
Ndugu wajumbe. .kutokana na idadi ya wanachama wengi wanaochomoa betri kuongeza. .sisi wajumbe wengine ambao bado hatuja kumbana na hiyo kadhia

Tumeamua kuwa wapenzi watazamaji kwanza. .Mpaka pale Ambapo tutakuwa tumejidhihirishia kwamba Upepo wa kuchomoa ma-betri umetulia. ....


Naomba niwe muwazi hapa. .hakuna thread iliyo nitia hofu kama ile ya yule mjumbe aliye sema kwamba mpenzi wake alikuwa ana muomba ushauri 'kwamba akubali kuchukua mkoba wa uganga toka kwa babu yake au la? .... Awali nilikuwa sijui kwamba hapa Jf Kuna wajumbe wengine ni manyau nyau

Kwako @zeshcriss
Naomba niseme tu kwamba pm zetu zitaendelea kufungwa, mpaka mtakapokuwa na adabu
 
Daah I miss those old days.. Bora Daby umerudi kuchangamsha jukwaa
 
Back
Top Bottom