Tangazo: Walimu wapya wote wilaya ya magu jumanne barabarani.

Tangazo: Walimu wapya wote wilaya ya magu jumanne barabarani.

DAWEMA

Member
Joined
Aug 12, 2013
Posts
31
Reaction score
11
kutokana na adha,mateso na manyanyaso tunayopata kudai pesa zetu za kujikimu walimu wote wapya msingi na sekondari halmashauri ya magu naomba tukutane jumanne ktk ofisi za halmashauri kupata muafaka wa madai yetu. uonapo tangazo hili mjulishe na mwenzako walimu tuwe mfano ahsanteni.
 
Duu!!! Poleni! Mubebe na mapanga ,mashoka ,sime,mikuki,visu ,majembe na nyundo asitoroke hata mmoja hakikisheni mumefunga milango na mageti yote ya ofisi muanze na cashier !!! Watawapa wenyewe!! Haya shughuli njema walimu wangu! Aminia !!!
 
Uamuz mzur walimu..lazima waelewe hiki ni kizazi kipya cha walimu..mambo ya wito tupa kule.. elimu gharama
 
Back
Top Bottom