Umewachunguza akili zao mkuu?Ni wabee(wawili)tu!Hamjambo wote..
Tangu mwaka 1998 umri wa mtu mzima mwenye familia yake klabu ya Yanga haikufika hatua ya makundi kwenye michuano ya Afrika.
Bila aibu ndo wao wanapiga kelele eti Simba wanaishia robo mfululizo bila kuhoji wao kwanini miaka yote walikuwa hawafiki hata io group stage achia robo yenyewe, ni aibu utopolo kujifananisha na Simba kimataifa..
Jumapili rivers anasawazisha zote na ikiwezekana anawapiga kabisa nipo hapa nawasubiri..
Sent using Jamii Forums mobile app
Umemaliza yanga Ni bingwa wa kombe hili na SAS tutajeukiya championship watajuwa hawajuiJiandae kushuhudia Wananchi wakitinga fainali na kubeba ndoo. Na nyinyi miaka yote mtaishia hapo hapo robo fainali. Maana hayo ndiyo mafanikio yenu pekee yaliyobakia.
Kuna mtu aliwahi kuwasikiliza mashabiki wa Yanga wakiongea akauliza, "hivi ningekuwa nashabikia Yanga ningekuwa sina akili kama hivi?"Hamjambo wote..
Tangu mwaka 1998 umri wa mtu mzima mwenye familia yake klabu ya Yanga haikufika hatua ya makundi kwenye michuano ya Afrika.
Bila aibu ndo wao wanapiga kelele eti Simba wanaishia robo mfululizo bila kuhoji wao kwanini miaka yote walikuwa hawafiki hata io group stage achia robo yenyewe, ni aibu utopolo kujifananisha na Simba kimataifa..
Jumapili rivers anasawazisha zote na ikiwezekana anawapiga kabisa nipo hapa nawasubiri..
Sent using Jamii Forums mobile app