emmadizzo
JF-Expert Member
- Jan 17, 2017
- 1,340
- 1,445
Hamjambo wote..
Tangu mwaka 1998 umri wa mtu mzima mwenye familia yake klabu ya Yanga haikufika hatua ya makundi kwenye michuano ya Afrika.
Bila aibu ndo wao wanapiga kelele eti Simba wanaishia robo mfululizo bila kuhoji wao kwanini miaka yote walikuwa hawafiki hata io group stage achia robo yenyewe, ni aibu utopolo kujifananisha na Simba kimataifa..
Jumapili rivers anasawazisha zote na ikiwezekana anawapiga kabisa nipo hapa nawasubiri..
Sent using Jamii Forums mobile app
Tangu mwaka 1998 umri wa mtu mzima mwenye familia yake klabu ya Yanga haikufika hatua ya makundi kwenye michuano ya Afrika.
Bila aibu ndo wao wanapiga kelele eti Simba wanaishia robo mfululizo bila kuhoji wao kwanini miaka yote walikuwa hawafiki hata io group stage achia robo yenyewe, ni aibu utopolo kujifananisha na Simba kimataifa..
Jumapili rivers anasawazisha zote na ikiwezekana anawapiga kabisa nipo hapa nawasubiri..
Sent using Jamii Forums mobile app