ERICKY_TZ255
Member
- Aug 27, 2024
- 49
- 42
Jamani naombeni ushauli niache kufatilia namba yangu ya NIDA au nikaze moyo toka nimemaliza usajili mwaka 2018 mpaka leo namba yangu haijatoka, ivi shida huwa ni nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Okay, nini anapaswa kufanya?uzembe wako tu
Nimeenda mala za kutoshaNenda ofisini
Unaweza nisaidia hilo?Tutajie Hapa Ulijianfikisha
Mkoa , Wilaya, Tarafa, Kata, Kijiji, Mtaa, Nyumba Number
Taarifa zako zilikua za kikimbizi ukute 😆😆Jamani naombeni ushauli niache kufatilia namba yangu ya NIDA au nikaze moyo toka nimemaliza usajili mwaka 2018 mpaka leo namba yangu haijatoka, ivi shida huwa ni nini?
HapanaTaarifa zako zilikua za kikimbizi ukute 😆😆
Ni ushauli tu natakaunacha kwenda ofisi za NIDA kuhoji sababu wewe unakuja JF kuhoji sababu? labda wewe ni mkimbizi.
We ulijiandikisha lini maana sio kwa usumbufu uke mpk kuimbishwa nyimbo za Taifa kisa nimevaa tshert imeandika kiluga😆😆mpk nikaanza kususa ata izo namba zenyeweHapana
Wewe ndio shida labda?Jamani naombeni ushauli niache kufatilia namba yangu ya NIDA au nikaze moyo toka nimemaliza usajili mwaka 2018 mpaka leo namba yangu haijatoka, ivi shida huwa ni nini?
Ama kweli mwenye shibe hamjui mwenye njaaWewe ndio shida labda?