Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Twende taratibu..Ama kweli mwenye shibe hamjui mwenye njaa
Unavyoenda kufuatilia wanakambia shida ni nini?
Kwa sababu Nida nyingi zipo serikali ya mtaa zaidi ya two years watu hawaendi kuchukua.
Online pia hakuna details zako?
Weka wazi kila kitu tukusaidie