Tangu Ahmed Ally aje Msimbazi timu yetu haijawahi kuifunga timu ya Yanga

Tangu Ahmed Ally aje Msimbazi timu yetu haijawahi kuifunga timu ya Yanga

Malengo ya Simba hayajawahi kuwa kuifunga yanga ndio yamefikiwa. Tuna target kubwa zaidi. Nyie mmeshatimiza Lengo kuu lenu la kuifunga Simba msimu huu, hayo mengine ni ziada tu.
Simba hii ninayoifahamu au Simba gani? Hiihii iliyobandua logo ya sportpesa kwenye jezi na kubandika za m-bet?
 
akili nini?
Wewe akili zako unazipimaje?
Akili za watu wengine unapimaje?
nani anawapima watu akili?
Yeye mpimaji ana akili kiasi gani?
Je mpimaji akili kwa wanayanga alipewa mamlaka na chuo kikuu gani kupima akili wanayanga?
Mpimaji anatumia akili ipi kuwapima watu akili?
Je lini mashabiki wa Yanga walipimwa akili?
Kilitumika kipimo gani?
Mtihani wa kupima akili ulifanyika wapi , maswali yalikuwa yapi?
Nani alitunga maswali kuwapima akili wanayanga?
Nani alisahihisha majibu ya maswali ya mtihani wa akili?
Msahishaji alitumia akili ipi kusahihisha mitihani ya akili ya wanayanga?

Je huko Kolokoloni kwenu mtu kuropoka baada ya kushiba chipsi zege ndio mnahesabu ndio akili?

Kweli Simba wengi hamna akili binafsi bali mnatumia akili za Msemaji wa Yanga kuzungumza na kutenda!
NA WEWE UTO SIKILIZA.
Mtu wa kwanza kutunikiwa cheti cha shahada ya kwanza alitunukiwa na mtu ambaye hakuhitimu hiyo shahada. Mtihani wake ulitungwa na kusahihishwa na mtu ambaye hakuhitimu shahada husika. Hapo unasemaje boss
 
NA WEWE UTO SIKILIZA.
Mtu wa kwanza kutunikiwa cheti cha shahada ya kwanza alitunukiwa na mtu ambaye hakuhitimu hiyo shahada. Mtihani wake ulitungwa na kusahihishwa na mtu ambaye hakuhitimu shahada husika. Hapo unasemaje boss
Duh! hapo sina cha kusema mkuu!
Yaani mbumbumbu kamtunuku shahada mbumbumbu mwenzake😆😆
 
Back
Top Bottom